Ngosha Mashine
JF-Expert Member
- Sep 21, 2017
- 625
- 1,251
Blue de Chanel ina bei gani mkuu!?Sauvage,Invictus na Blue de Chanel hii combination ni kama Messi,Neymar na Suarez
Blue de Chanel ina bei gani mkuu!?Sauvage,Invictus na Blue de Chanel hii combination ni kama Messi,Neymar na Suarez
Mie pia natumia creed, nyingine nilizo nazo ni savage na lacoste White natumia original parefu kidogoSijawahi kuisikia hii. Kwa kuwa inatumiwa na wengi, basi itakuwa nzuri tu..
Waweza tupia picha tafadhali?
harufu yake ipoje mkuu!? haikeri au siyo kali sanaaa!?Hii kitu ni balaaa wanao ijua hii watawaambieni ina harufu nzuri sana pi ina dumu sio kama zingine za hovyo hovyo View attachment 1827706
Gharama ni kiasi gani mkuu?Hii kitu ni balaaa wanao ijua hii watawaambieni ina harufu nzuri sana pi ina dumu sio kama zingine za hovyo hovyo View attachment 1827706
Yaani haikeri wala haiboi mkuu, halafu haina bei sanaaa....! Wanaiuza 9k tu.harufu yake ipoje mkuu!? haikeri au siyo kali sanaaa!?
ngoja niitafute kama ntaipataYaani haikeri wala haiboi mkuu, halafu haina bei sanaaa....! Wanaiuza 9k tu.
9k ya kibongo ila nili wahi inunua zimbabwe dollar 3 tu kwahiyo mule mule yani hakuna mbwembwe nyingiGharama ni kiasi gani mkuu?
Naamini ukienda kariakoo una weza kufanikiwa, ila mitaani sidhani sanaa labda ubahatishe sija wahi kuona mitaani.ngoja niitafute kama ntaipata
Kimbuzi mbuzi🤣🤣🤣😂😂Hivi perfume na bodyspray tofauti yake ni nini wakuu,wengine hatujuagi hayo mavitu ni full kunukia kimbuzimbuzi tu
Kwani 'uarabu' ndo 'umyuzilimu'??😂Hapana.. I'm a muslim actually, nilivyoona perfume ya elfu 6 ndo nikaweka hiyo doubt!
Hehehe Haya Ni matambo mkuu....Creed Aventus dho kwa sasa naona watu wengi wanaitumia nafkiria kubadilisha
Mzigo bei ni £450+ af watu wengu wawe wanatumia?..hata ulaya hakuna kitu kama hiki nadhani..watakao kuwa wanatumia ni wachache tu.Hehehe Haya Ni matambo mkuu....
Kwa watu wengi wanatumia Clone ya creed ambayo kwa pro ndo wanajua the difference....
Nikicheki hiyo maneno yako halaf nikiangalia price ya creed Haviniingi akilini kabisa
Ndo maana nimekua mpole mkuu maana hata kwenye biblia imeandikwa "Maana kinywa cha mtu huyanena yaujazao moyo wake"Mzigo bei ni £450+ af watu wengu wawe wanatumia?..hata ulaya hakuna kitu kama hiki nadhani..watakao kuwa wanatumia ni wachache tu.
Jamaa katupiga kamba.
Laki 4+Ebhana hii manukato!! Iko vizul nataka nichukue Wakuu bei yake imekaajeView attachment 1861366View attachment 1861367
Hii kitu ni balaaa wanao ijua hii watawaambieni ina harufu nzuri sana pi ina dumu sio kama zingine za hovyo hovyo nView attachment 1827706Inapatikana maduka yetu hapa? Kwangu ni ngeni machoni. Kiasi gani?