Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,231
- 113,609
kumbe roho mbaya uliianza zamani arifu..!
Kuna mwenye roho stoki kukushinda wewe?
kumbe roho mbaya uliianza zamani arifu..!
Kuna mwenye roho stoki kukushinda wewe?
mademu wa pale wengi walikua wanaigana hadi kutembea kishamba....
ina maana hamna aliyesoma weruweru!!??
tupo ila mimi siuukumbuki huu wimbo mana nilikuwa naichukia shule vibaya mno nilikuwa naomba tu siku ziende ila sitasahau gwaride unalikumbuka? unalikumbuka lile lorry lilikuwa linaitwa scandnavia?ina maana hamna aliyesoma weruweru!!??
HIvi weru weru ndio wale sare yenu ya viatu ni "kung fu shoes?"
unakumbuka fete.?Umenikumbusha mbali sana . . ....."hongera weruweru u mlezi wetu kwa mapenzi yamoyoni umetunyonyesha." yaani ilikuwa raha.
tupo ila mimi siuukumbuki huu wimbo mana nilikuwa naichukia shule vibaya mno nilikuwa naomba tu siku ziende ila sitasahau gwaride unalikumbuka? unalikumbuka lile lorry lilikuwa linaitwa scandnavia?
na ile the work done under my ministry is not well done the following step forward and neal down? the following are swahili speaker.
yani kwenye hizi area nilikuwa sikosi na akiitwa mmoja basi kundi zima litaitwa.
unakumbuka fete.?