Wale wa Weruweru

Mama watoto wangu ndo aliposoma hapo.. Haishi kuimba nyimbo za shule
 
Duh, afu hii ya kukumbushiana mashule sijui ilitoka wapi.
Imekuwa hobby, ila safi.
 
Ha ha ha, umenikumbusha misimu ya michezo shuleni
kama ulisoma st kayumba

Mara rede, mara kuruka kamba, mara kombolela .

Jf huwa kuna msimu wa mada...huu ni msimu wa shule, ulikuwepo wa nyumba ndogo, mke wa mtu, nk nk
 
Ha ha ha, umenikumbusha misimu ya michezo shuleni
kama ulisoma st kayumba

Mara rede, mara kuruka kamba, mara kombolela .
Hii ilichezwa hadi zile shule za 'academia'
St. Kayumba mpango mzima Kongosho
Halafu sekondari hivi tulikuwa hatuna hutu tumichezo eeh?

Kongosho rede nilikuwa naogopa sana kubutuliwa aisee...
Kulikuwa na 'sheki', kinata /esta esta sijui, kuruka kamba, nk
 
Kongosho rede nilikuwa naogopa sana kubutuliwa aisee...

Kwenye marede utabutuliwaje?

Mi nilidhani kubutuliwa kuko kwenye kombolela....lile kopo ndo linabutuliwa. Sasa wajanja tulikuwaga tunalijaza mchanga lile na mtu akija kulibutua lazima aumie.
 
Kwenye marede utabutuliwaje?

Mi nilidhani kubutuliwa kuko kwenye kombolela....lile kopo ndo linabutuliwa. Sasa wajanja tulikuwaga tunalijaza mchanga lile na mtu akija kulibutua lazima aumie.
Ule mpira unaotumika kucheza rede je? Ukiwa mgumu halafu ulengwe nao si maumivu hayo....wengine afya zetu zilikuwa mgogoro! Huko kudundwa na limpira la matambara magumu ndo nakuita kubutuliwa.

Mmh jamani watu si kucha zilikuwa zinawatoka wakibutua mkopo ulojaa mchanga?
 
Back
Top Bottom