Wale wa TEKU tukutane kwa hapa.

Wale wa TEKU tukutane kwa hapa.

hakuna mbaya bhana weng wameenda vyuon udsm teku udon stemuco nk by chance 2 n not by choic hahaha dume lenye uhakika halimchunguli mkewe
 
nimeona jengo moja tu la library.
sijui walipewa msaada toka wapi
teh!

pale kuna majengo kama matatu mazuri, Library, Hall(linaitwa TEKU Hall), na kwa sasa wamekamilisha hostel ya wasichana. Huwa wanatangaza chuo chao na hayo majengo mazuri mazuri tu ili kuvutia watu.
 
wadau nimekuwa selected TEKU vp kuhusu boom heslb inaconnection na hiki chuo?mana tumbo joto hasa kwenye boom.
 
teku, kampala hivi vyuo sivipendi kabisa maana havina ubora hata kidogo
 
Mkopo utakula tu kimesajiliwa na TCU,ondoa shaka dogo we nenda kapige msuli mengine mwachie mungu...
Usitishwe na akina Yahaya wa JF
 
Sjafika lkn naambiwa ni kibaya infrastructure km za sec school, jina nalo baya TEKU lol lina ladha ya kisafwa
 
acha dharau mkuu,mbona hicho chuo wanasoma watu wengi.
 
ingekuwa km zamani unaombea chuoni teku wasingepata watu. POLENI WA TEKU
 
tuachieni teku yetu tukaijenge! Msomi unatakiwa ukaboreshe kisichobora! Hivi tukikutana watu wanaosoma ubaya wa chuo kitu gani??
 
Chuo chochote chenye usajili halali na kinatambulika na tcu lazima wanafunzi wenye vigezo vya kupata mkopo wanapata sawa na vyuo vingine na Teku ni miongoni katika vyuo vyenye sifa na wanafunzi wake wenye vigezo wanapata mkopo kama vyuo vingine nakutakia masomo mema na mkopo utapa kwa asilimia mia kila la kheri
 
Back
Top Bottom