Wale wa TEKU tukutane kwa hapa.

Wale wa TEKU tukutane kwa hapa.

Wakuu TEKU= Teofilo Kisanji University ni chuo cha kidini kinapatikana mbeya nje kidogo ya mjii maeneo yanayoitwa BLOCK T kama umechaguliwa mbeya nunua kabisa mablanket mazito makot sasa iv mbeya kuna barid xana
 
Wakuu TEKU= Teofilo Kisanji University ni chuo cha kidini kinapatikana mbeya nje kidogo ya mjii maeneo yanayoitwa BLOCK T kama umechaguliwa mbeya nunua kabisa mablanket mazito makot sasa iv mbeya kuna barid xana

wanajua ndio maana wamechagua TEKU
 
Wakuu TEKU= Teofilo Kisanji University ni chuo cha kidini kinapatikana mbeya nje kidogo ya mjii maeneo yanayoitwa BLOCK T kama umechaguliwa mbeya nunua kabisa mablanket mazito makot sasa iv mbeya kuna barid xana

nikija na baiskeli yangu si itakuwa inanisaidia kufika mjini mwana au haziruhusiwi
 
Nipo ndugu teku 1 bed maths! Nipe mwonekano wa nje na wa ndani ndg!
 
Nipo ndugu teku 1 bed maths! Nipe mwonekano wa nje na wa ndani ndg!

karibu kijana, BEDMATHS fresh hawazingui sana. Mambo yanakwenda fresh kabsa.

Kwa ushauri tu, kama una material yako ya Maths advance beba tu yatakusaidia. Kama ulikuwa na vitabu kama Backhouse ( pure 1 & 2) au combined na Tranter ni vya muhimu kwa semester II. Karibu.
 
kama kawaida jamani wote waliochaguliwa TEKU nahisi hapo zamani kipindi wako advance walikuwa hawakipi piriority ya kuchaguliwa hapo lakini baada ya tokeo kutoka mambo yalikuwa magumu kuchaguliwa na vyuo vikubwa kama UD,lakini najaribu kuwaambia madogo wangu kuwa kuna jamaa kapiga pale lakini mpaka sasa anamaliza field hajapata pesa yake ya field anaishi kwa kuunga unga tu,lakini kuna people nyingine zinawapa ahueni ili mradi aripoti chuo kumbe kunakusuffer sana pale,ila msuli wa pale ni wa kawaida sana si wakutisha na unaweza usiwe unahudhuria lectures lakini mwishowe una graduate na GPA kali sana ila akiingia mtaani ni kazi bure
 
kama kawaida jamani wote waliochaguliwa TEKU nahisi hapo zamani kipindi wako advance walikuwa hawakipi piriority ya kuchaguliwa hapo lakini baada ya tokeo kutoka mambo yalikuwa magumu kuchaguliwa na vyuo vikubwa kama UD,lakini najaribu kuwaambia madogo wangu kuwa kuna jamaa kapiga pale lakini mpaka sasa anamaliza field hajapata pesa yake ya field anaishi kwa kuunga unga tu,lakini kuna people nyingine zinawapa ahueni ili mradi aripoti chuo kumbe kunakusuffer sana pale,ila msuli wa pale ni wa kawaida sana si wakutisha na unaweza usiwe unahudhuria lectures lakini mwishowe una graduate na GPA kali sana ila akiingia mtaani ni kazi bure

METAL acha unaa..., usiropoke hovyo kwa usiyoyajua, tafadhali tumia mdomo na uwezo wako wa kuandika vizuri. Kwa uliyoyaandika hata ungekuwa umepangwa Havard Univesity nitaendelea kukuita KILAZA DAIMA.
 
Last edited by a moderator:
METAL acha unaa..., usiropoke hovyo kwa usiyoyajua, tafadhali tumia mdomo na uwezo wako wa kuandika vizuri. Kwa uliyoyaandika hata ungekuwa umepangwa Havard Univesity nitaendelea kukuita KILAZA DAIMA.

asante sana kwa kuniita mm kilaza,ila jua kuwa ukweli unauma,naomba tueshimiane dogo
 
kama kawaida jamani wote waliochaguliwa TEKU nahisi hapo zamani kipindi wako advance walikuwa hawakipi piriority ya kuchaguliwa hapo lakini baada ya tokeo kutoka mambo yalikuwa magumu kuchaguliwa na vyuo vikubwa kama UD,lakini najaribu kuwaambia madogo wangu kuwa kuna jamaa kapiga pale lakini mpaka sasa anamaliza field hajapata pesa yake ya field anaishi kwa kuunga unga tu,lakini kuna people nyingine zinawapa ahueni ili mradi aripoti chuo kumbe kunakusuffer sana pale,ila msuli wa pale ni wa kawaida sana si wakutisha na unaweza usiwe unahudhuria lectures lakini mwishowe una graduate na GPA kali sana ila akiingia mtaani ni kazi bure

Hapo penye red ndo panafanya mi nikudharau. Mi muda mwingine nalala saa 4 tu kwa siku nikiisaka hyo GPA alafu we unasema upuuzi kama huu! Jiheshimu kwanza wewe alafu utengue kauli yako nami ntakuheshimu. Yaani kweli unataka uheshimiwe wakati we hauheshimu wenzio.? Mi huwa namuheshimu kila mtu ila wewe rekebisha kauli yako kwanza.
 
mwenye picha ya chuo haiweke hadharani jamani tukione.
 
mwenye picha ya chuo haiweke hadharani jamani tukione.
 
mwenye picha ya chuo haiweke hadharani jamani tukione.

Kwanini unataka kuona picha? Vipi kwani nawe umepangwa TEKU? Kile chuo ni kikubwa, sijaelewa unataka picha kwa namna gani! Je, unataka picha inayoonyesha muonekano wake au?

Ukipita kwenye web ya TEKU utakutana na pcha nzuri za kuvutia za majengo muhimu kama library, hostel nk. Cha msingi nenda ujionee, picha hazitatoa hali halisi ya chuo.
 
Kwanini unataka kuona picha? Vipi kwani nawe umepangwa TEKU? Kile chuo ni kikubwa, sijaelewa unataka picha kwa namna gani! Je, unataka picha inayoonyesha muonekano wake au?

Ukipita kwenye web ya TEKU utakutana na pcha nzuri za kuvutia za majengo muhimu kama library, hostel nk. Cha msingi nenda ujionee, picha hazitatoa hali halisi ya chuo.

nimeona jengo moja tu la library.
sijui walipewa msaada toka wapi
teh!
 
Back
Top Bottom