watu mpaka sasa hivi hawajapewa pesa yao ya filed kwa sasa ya poor management ya chuo,afu ww unang'ang'ania kwenda pale,duuuu utajutia
Sio tatizo ni changamoto tuuu watapewa tuuu hizo pesaa but karibun in da green city wadau
TEKU? Ndio kile chuo wanadeal pia na form 4 failures? Afu hao jamaa wa hicho chuo sio kabisa, I hate them. Hata jina tu baya ... teku..
World rank ni cha ngapi vileeee?
hakupenda kwnda pale ila MATOKEO ndio yamemfanya haende pale
acha kuropoka/uongo wewe, una uhakika gani na unachokisema? Yaani mimi ndo namalizia hyo hela saivi alafu wewe unasema hatujapata? Aliyekuambia kakudanganya, nawe endelea kujidanganya hivyohivyo. Lakini usiwadanganye watu.
Ukikosa Chumba Uni Pm Ninanyumba Isengo Nataka Wanafunzi Tu Kutoka Teku Wa 1year
chuo , chuo, vyuo, teKU , tiGO!
hiyo n kejer
pole kwa kuxoma TEKU
asante, we endelea kuchonga hvyohvyo na mawazo yako mgando, utajenga ghorofa.
Kwanza hongereni wote mliochaguliwa ila wale wa TEKU nawahitaji hapa. Nawasilisha