radio one ipi? ni hii ya ipp media? kama ndiyo niliipenda kwa vipindi murua: mtaa wa mangoma, chalanga, mtangazaji mahiri miaka ya 2001: abubakar sadid (alivuma huyo, aling'aa kwa nafsi za warembo mh. zaidi alikuwepo maulid kitenge ktk sport leoooo! na kipindi chao cha kipusa, anko julius nyaisanga akichambua mambo mseto (nilisikia alitutoka Mapenzi ya Mungu yatimizwe), charles hilari, mareheme amina chifupa. baadae akaingia abdallah mwaipaya abd sasa namuona itv. kiukweli zamani hazikuwa taaluma tu bali vipaji. saivi watangazaji wengi hawana mvuto wala ubunifu wa kuiteka akili ya msikilizaji. bali mbwembwe na michosho tu. wasikikizaji tunalenga vipindi malum tu km taarifa, zilipendwa na michezo basi.