Namkumbuka Michael Katembo na "Tumbuiza asilia", alivyokuwa anataja kwao kuwa unakwenda kwa ndege siku mbili, kwa gari siku moja, kwa miguu ......, daa tumetoka mbaliebwana wee. miaka hiyo 90's ikikung'uta RTD masafa ya am. utamsikia shabani kisu, sarah dumba, tumbo risasi na vipindi vya kuvutia kama mazungumzo baada ya habari, michezo, majira. masafa ya sw ilinasa barabara kbs nairobi. namkumbuka mtangazaji wa mbwembwe leonard mambo mbotera akitamka KBS NYAIROBIII!!!! ebwana weee ya kale ni dhahabu.
Yaani ni balaa, unaporekebisha short wave ni kama fundi anatega timing chain kwenye gari, yaani ukikosea kidogo tu, huipati hiyo redioBetrii zikiisha inapiga miluzi balaa. Ukiifungua kama hukumbuki step utakuta vitu vimejaa na bado spika hujairudishia. Hahaha
Duuh, umenikumbusha mbali Mzee.Na wakati mwingine kamziki kazuuuuri kwa Maquiz du Zaire. "wanasema ruudiee e rudi e ee..." au Maneti " Linalonishangaza sio liftiiiii mama watoto ..." kuashiria kwamba haya mabo ya siku hizi hayakuanza leo
Mazungumzo baada ya habari nilikuwa napenda sana kusikiliza,kulikuwa kuna mafunzo mazuri sanaebwana wee. miaka hiyo 90's ikikung'uta RTD masafa ya am. utamsikia shabani kisu, sarah dumba, tumbo risasi na vipindi vya kuvutia kama mazungumzo baada ya habari, michezo, majira. masafa ya sw ilinasa barabara kbs nairobi. namkumbuka mtangazaji wa mbwembwe leonard mambo mbotera akitamka KBS NYAIROBIII!!!! ebwana weee ya kale ni dhahabu.
HahahaaaBetrii zikiisha inapiga miluzi balaa. Ukiifungua kama hukumbuki step utakuta vitu vimejaa na bado spika hujairudishia. Hahaha
Mazungumzo baada ya habari nilikuwa napenda sana kusikiliza,kulikuwa kuna mafunzo mazuri sanaebwana wee. miaka hiyo 90's ikikung'uta RTD masafa ya am. utamsikia shabani kisu, sarah dumba, tumbo risasi na vipindi vya kuvutia kama mazungumzo baada ya habari, michezo, majira. masafa ya sw ilinasa barabara kbs nairobi. namkumbuka mtangazaji wa mbwembwe leonard mambo mbotera akitamka KBS NYAIROBIII!!!! ebwana weee ya kale ni dhahabu.
Haswa nje ya dar ndio mtihaniYaani ni balaa, unaporekebisha short wave ni kama fundi anatega timing chain kwenye gari, yaani ukikosea kidogo tu, huipati hiyo redio
Kiongo mama njoo....Na wakati mwingine kamziki kazuuuuri kwa Maquiz du Zaire. "wanasema ruudiee e rudi e ee..." au Maneti " Linalonishangaza sio liftiiiii mama watoto ..." kuashiria kwamba haya mabo ya siku hizi hayakuanza leo


radio one ipi? ni hii ya ipp media? kama ndiyo niliipenda kwa vipindi murua: mtaa wa mangoma, chalanga, mtangazaji mahiri miaka ya 2001: abubakar sadid (alivuma huyo, aling'aa kwa nafsi za warembo mh. zaidi alikuwepo maulid kitenge ktk sport leoooo! na kipindi chao cha kipusa, anko julius nyaisanga akichambua mambo mseto (nilisikia alitutoka Mapenzi ya Mungu yatimizwe), charles hilari, mareheme amina chifupa. baadae akaingia abdallah mwaipaya abd sasa namuona itv. kiukweli zamani hazikuwa taaluma tu bali vipaji. saivi watangazaji wengi hawana mvuto wala ubunifu wa kuiteka akili ya msikilizaji. bali mbwembwe na michosho tu. wasikikizaji tunalenga vipindi malum tu km taarifa, zilipendwa na michezo basi.Radio one kwa masafa mafupi (SW) ni mita band 1441
sikuwahi kujua kama kuna dawa zaidi ya aina 3 tu: asprin, klorokwini (ukimeza unawashwa mwiki mzima siku kama 5) na rangi mbili (sijui jina zaidi). yote hayo tuliyapata kwa duka la mchuuzi maarufu kijijini kwetu (jina kapun). kumbuka hakuna sijui duka la dawa baridi, sijui muhimu za binadamu. anagusa makorokoro ya dukani yamejaa vumbi, anamalizia kupima mafuta ya kula/taa kisha anabeba kopo la vidonge anapakua kwa kijiko unalipa sh. 1 anakukunjia kwenye kigazeti hakuna maelezo kunywa 2x3 mbio nyumbani. **usafiri wa uhakika (ili uwahi) ni kuendesha ringi ya baskeli. watoto wa enzi hizo mnakumbukaWakati huo ugonjwa mkubwa ulikuwa kaswende tiba tetracycline![]()