Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu

Hahahaaaa. Inabidi niwe nakuita kila siku aiseee.


Kwanza mie nina kawaida yaani mtu nimekutana naye leo halafu leo leo anahitaji namba siwezi mpa hata siku moja mpaka nikuzowee na katika kukuzowea kuna baadhi ya vitu naviangalia. [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2].
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ukiniita hivyo kila siku nitakusumbua huko sirini na usivyopenda usumbufu
 
Hahahaaaa. Mpaka mawazo yaje kwamba ni tarehe ya leo sio rahisi. Yahitaji ujanja wa hali ya juu.

Pia napata shaka katika hizi tarehe huenda ikawa kuna namba zinafanana unaweza piga na ikaita vilevile ila mwisho wa siku unayempigia sio uliyemdhamiria.
Hilo la kumpigia mwingne sawa

Kwanza ninacho jua mi ndo huwa naweza kumpa ya kwangu maana kuomba Namba unaweza kutumia mda mwingi

Ukimpa unamwambia Namba yangu hiyo kama inauhimu ihifadhi kama haina utaitupa hapo umemaliza kazi
 
Kweli kabisa. Na mwingine ukimuuliza mara ya kwanza halafu ukarudia anaweza kosea akakupa ya ukweli. Hahahaaa.

Yahitaji umakini sana aisew kutoa hiyo tarehe.
Kisaikolojia mtu anayetaja namba ya uongo. Ukii recite ile namba mbele yake lazima atataja namba sahihi
 
Kisaikolojia mtu anayetaja namba ya uongo. Ukii recite ile namba mbele yake lazima atataja namba sahihi
Hahahaa. Mkuu kuna wengine wana macho makavu yaani wacha kabisa.

Yaani anaweza hata asishituke hata ui recite mara ngapi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom