koncho77
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 7,800
- 10,433
Unaomba namba ya
simu ya mdada halafu
anakunyima ila
unalazimisha akupe
anaona kuliko
muendelee kuongea bora tu akupe
anakutajia 0712012018
unafuraahi unaondoka
unafika nyumbani
unajaribu kuipiga but
kabla hujapiga unagundua alikutajia
tarehe ya leo.
Wadada acheni hizo
simu ya mdada halafu
anakunyima ila
unalazimisha akupe
anaona kuliko
muendelee kuongea bora tu akupe
anakutajia 0712012018
unafuraahi unaondoka
unafika nyumbani
unajaribu kuipiga but
kabla hujapiga unagundua alikutajia
tarehe ya leo.
Wadada acheni hizo