carcinoma
JF-Expert Member
- Mar 5, 2017
- 5,059
- 13,849
[emoji23] [emoji23] [emoji23] anayesema aje hapa tumuone[emoji125] [emoji125]Mbona nasikia wanasema kuolewa sio deal.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] anayesema aje hapa tumuone[emoji125] [emoji125]Mbona nasikia wanasema kuolewa sio deal.
Hahaaa. Ila sio wote wanaopewa tarehe Mkuu hizi ni special kwa wale wasioeleweka na bila kuwasahau wale ving'ang'nizi.Nyie wadada mnapishana na bahati sasa hivi..
Mkifikisha miaka 30+ tunaanza kuwaona nyumba za ibada mkitaka kuombewa mpate mume kumbe mume ulimnyima namba ukiwa na miaka 25..
[HASHTAG]#KILA[/HASHTAG] MMOJA APAMBANE NA HALI YAKE
Hahaaaa. Mie sina line ya Voda nina ya tigo tu. 0712 012018Madam naomba namba yako ya voda. Nataka kutunisha mpesa yako
Wapo huko kwenye ma grup ya watsap[emoji23] [emoji23] [emoji23] anayesema aje hapa tumuone[emoji125] [emoji125]
Sio vizuri hvyo ujue[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Hivyo tuanze tu kuwapa tarehe hadi za miaka ya kuzaliwa ikibidi sababu huwa wanaombaomba sana namba.
Hahahaaaa.
HahahahahaahHahaaaa. Mie sina line ya Voda nina ya tigo tu. 0712 012018
Hahahahaaaa. Ila we mjanja sana aisee sababu voda inaanzia 075 na kuendelea huku mwezi una siku 30 lol.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Sio vizuri hvyo ujue
Utajuaje kuwa hana madhara[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Kama mtu hana madhara anapewa tu swahiba.
Hahahahahaah
Umenikumbusha kuna bint aliwah kukataa kunitajia hata jina lake achilia mbali kupewa namba. Cha ajabu saa hizi ndio ninachat nae mara kwa mara.
Hahaaaaa. Ujaji wake tu.Utajuaje kuwa hana madhara
Wakat ananinyima alikuwa chuo. Baada ya kumaliza nikaipata bila shidaHahahaaa. Itakuwa ameshakuona huna madhara sasa ndio sababu imekuwa hivyo.
Huwa tunawaogopa sana wale wasumbufu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] sawa mtaalamuHahaaaaa. Ujaji wake tu.
Hahahaaa. Amekuona ulivyoisotea ndio sababu akakumbuka kale ka usema ka "atafutaye hachoki"Wakat ananinyima alikuwa chuo. Baada ya kumaliza nikaipata bila shida
Madhara kutokuwepo anatambua vip
Hahahaaa.[emoji23] [emoji23] [emoji23] sawa mtaalamu
Hahahaa. Ndugu si unaambiwa simu haina chaji piga baada ya 1hr nitakuwa hewani.Ukinipa Namba lazima Nipige kabla sijaondoka maana lazima na wewe upate ya kwangu
HapanaHahahaaa. Amekuona ulivyoisotea ndio sababu akakumbuka kale ka usema ka "atafutaye hachoki"
Hivyo akajiamulia kukupa kiroho safi sababu kama alikuwa chuo mpaka kumaliza ni zaidi ya miaka miwili.
Sababu hata kama ni mie ndani ya miaka miwili unasotea namba tu inabidi nikupe tu aiseee. Hahahaaaa.
Hahaha kumuangalia mtu na ukajua kuwa ana madhara au hana ni utaalamu swahiba.Hahahaaa.
We Mshipa weweee. Lol.
Utaalam kwenye kutoa namba. Hahahaaaa.
Ukijaribu kupiga utaambiwa Namba sio sahihi hapo ndio chanzo cha kumwambia umenipa tarehe ya leoHahahaa. Ndugu si unaambiwa simu haina chaji piga baada ya 1hr nitakuwa hewani.
Hapo utajaribu vp sasa?