Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 52,078
- 126,196
Hahahaaaa. Hivyo akakupa mwenyewe bila hata usumbufu. Duuh.Hapana
mimi niltangulia kumaliza. So tukapoteza like a year ndio tukaja kuonana tena
Hahahaaaa. Hivyo akakupa mwenyewe bila hata usumbufu. Duuh.Hapana
mimi niltangulia kumaliza. So tukapoteza like a year ndio tukaja kuonana tena
Ilikuwa night fulan. Nikampa simu yangu akaiandka fasterHahahaaaa. Hivyo akakupa mwenyewe bila hata usumbufu. Duuh.
Naomba no yako emmyHahaaa. Hii kali aiseee.
Simu haina chaj wakat umeonekana upo Fb muda si mrefu.Hahahaa. Ndugu si unaambiwa simu haina chaji piga baada ya 1hr nitakuwa hewani.
Hapo utajaribu vp sasa?
Hahahah nimeipendaaHahahaaa. Unamalizia na 012018.
Hahahah naona ushaanza kuwahenyeshaHahaaaa. Mie sina line ya Voda nina ya tigo tu. 0712 012018
Hahahahaaaa. Ila we mjanja sana aisee sababu voda inaanzia 075 na kuendelea huku mwezi una siku 30 lol.
Hahahaa. Best wewe nitakupa tarehe na mwaka wangu wa kuzaliwa.Naomba no yako emmy
Hahahaaaa.Simu haina chaj wakat umeonekana upo Fb muda si mrefu.
Umeonaeee.Hahahah nimeipendaa
Duh ngumu kumeza hiyoHahahaa. Best wewe nitakupa tarehe na mwaka wangu wa kuzaliwa.
Kabisa my dear. Mtoa uzi kanipa maujanja. Hahahaaaa.Hahahah naona ushaanza kuwahenyesha
Uongo kipajiHahahaaaa.
Hahahaaaa. Inabidi niwe nakuita kila siku aiseee.Hahaha kumuangalia mtu na ukajua kuwa ana madhara au hana ni utaalamu swahiba.
Sema swahiba unavyoniitaga sasa unanikosha kweli basi tu
Hahahaaaa. Mpaka mawazo yaje kwamba ni tarehe ya leo sio rahisi. Yahitaji ujanja wa hali ya juu.Ukijaribu kupiga utaambiwa Namba sio sahihi hapo ndio chanzo cha kumwambia umenipa tarehe ya leo
Ukipewa Namba jaribu kupiga kama ya uongo itakupa jibu hapohapoAtakuambia simu kaiacha kwao
Duuh. We mbaya aisee.Ilikuwa night fulan. Nikampa simu yangu akaiandka faster
Kwani kuna Shida ???, Freedom of Speech, ili mradi usitukane mtu.Ninyi wawili jiheshimuni maswala yakuanza kuleta kujuana kwenu kwenye mada za watu mnakera sana nendeni pm mkaelezane
[emoji2] [emoji2] [emoji2]Duh ngumu kumeza hiyo
Kwa nni madam?Duuh. We mbaya aisee.