Wale wa IST wenzangu mpo?

BACK to the topic..Unajua mkuu..baada ya kufika nilipo..ndo nimegundua wengi tunakosa maendeleo partly kwa sababu ya kutokuwa na information sahihi. Personally IST nilijua ni shule za Vibopa tuu..sisi watoto wa wakulima haturuhusiwi hata kukatiza getini..lakini it seems kuna uwezekano wa mtu kupata chance/scholarship on merit (you can shade more info. on this). Same applies..hata vyuo vya maana nje..wengi wanaogopa kuomba kwa sababu ya woga kwamba hawatachukuliwa..kumbe ukihangaika..some one might see your grades and take you onboard.
kun watu nwfhmu uko majuu wana uwezo kuanzia upstair wa kusoma harvard,oxford lakini wanasoma college za kinaijeria.......ukiamua mtoto asome shule za msondo atasoma ISM ISM ni aibu weusi wachache........mpaka sasa hivi huu utamaduni unaendelea.....weusi wanapaogopa.....
 
kun watu nwfhmu uko majuu wana uwezo kuanzia upstair wa kusoma harvard,oxford lakini wanasoma college za kinaijeria.......ukiamua mtoto asome shule za msondo atasoma ISM ISM ni aibu weusi wachache........mpaka sasa hivi huu utamaduni unaendelea.....weusi wanapaogopa.....

Wewe, unataka kusema IST ni cheaper than ISM? Wacha kutuuza hapa.
IST Grade 11,12 Tuition Fees = $20,000
ISM D1, D2 Tuition Fees = $16,500
Hizi zote ni US$, na ni tuition peke yake. Shule utadhani university bwana, kudadadeki!!
Data zinapatikana hapa: ISM, IST. Hii ya IST ni pdf, kwa hiyo usishangae ikifungua adobe.
 
mpemba sidhani kama umesoma IST.......acha niwatafute mate wangu.....
.....lol ina maana JF woote mmesoma shule za msondo?
wengi wetu hapa JFtumesoma mbagala kwenye ile shule isiyo kuwa na madawati.
 
no no no ile shule mbona haichagui.....mbona nimesoma na watu tofauti tofauti.....wakuu ina maana niko alone mwana IST?

I was an IST student from Kindergarten and graduated in 1999 after completing IB 2 and was there from 1985 - 1999.

Fardosa Hassan, This dada wakisomali nilimuona mjini siku moja amekua limama hata sikumfahamu tena, Luckly yeye alinifahamu.
Al-Junaid Hasham
Jonathan Airey
Sabrina Bandali
Stijn Broecke
Miten Davda
Amreen Dinani.
Fayaz Jaffer
Anwar Jessa
Riyaz Jessa
Asha Juma
Khalid Kabir
Amar Kanabar
Salina Karim
Na wale bishoo wa Nigeria wanaoishi msasani, wanachonga mapanki kila siku kama gardener.

After IST I moved to the States where I spent 7 years. In 2006 I moved back to Dar, and I'm now working in the Netherlands.
 
I was an IST student from Kindergarten and graduated in 1999 after completing IB 2 and was there from 1985 - 1999.

Fardosa Hassan, This dada wakisomali nilimuona mjini siku moja amekua limama hata sikumfahamu tena, Luckly yeye alinifahamu.
Al-Junaid Hasham
Jonathan Airey
Sabrina Bandali
Stijn Broecke
Miten Davda
Amreen Dinani.
Fayaz Jaffer
Anwar Jessa
Riyaz Jessa
Asha Juma
Khalid Kabir
Amar Kanabar
Salina Karim
Na wale bishoo wa Nigeria wanaoishi msasani, wanachonga mapanki kila siku kama gardener.

After IST I moved to the States where I spent 7 years. In 2006 I moved back to Dar, and I'm now working in the Netherlands.

Huyu ni yule wa Vancouver? wewe ulisoma na kina Lara, Kristine, Aisha sykes, Ikechukwu?
 
1979-2000 katiika kati ya miaka hiyo.......
Mbona miaka mingi?
Kwahio ulimaliza ukiwa na miaka kama 25 au 26 hivi.
Ila kama ulisoma kati ya miaka hio IST ilikua na challenge nyingi sana.
Acha sasa kila student anatakiwa aende na Uniform.
Kipindi kile tulikua na zile T-shirt zilizoandikwa PEACE tu, unaweza uvae au usivae, [I hate that t-shirt] au pengine nguo zakufana ni za mazoezi tu.

Unajua kipindi kile kila student alikua anakuja na nguo zake atakazo.
Wanakuja students na sneakers utatafuta afrika mashariki yote huzipati hata kama una pesa ya kuzinunulia.
Na unajua ile miaka hakuna online shopping.

Ila kwa sisi students ambao tulikua tunajua kiswahili vizuri tulikua na maringo yakipuuzi hahaaaaaa.
Mabaniani and sikh wa TZ nao walikua wanajitahidi nao waonekane special.

Kuna dada mmoja nimemsahau jina lake, siku moja akafatwa na mnorway mmoja, Basi akasema "Akhaa babu wewe unikome" wanaojua kiswahili tulicheka kweli.
Mara mzungu wa watu kawa mwekundu kwa aibu.
Basi hio ikawa kama wimbo wa taifa, hata wadada wa Russia waliijua kuitamka kwa mbwembwe.

Fond memories of life at IST. Enjoyed my time in IST immensely , i think aout it often , and watching the informational video brought back many wonderful memories of the secondary school and life in Dar.
 
Yaani Darwin umetukimbizia YoYo jamani, usingekuwepo angetupiga fix hapa balaa, kabisa instinct zangu zinaniambia YoYo ni Mwakaleli Alumni...LMAO
 
Darwin unawakumbuka wale Zambian sisters Comfort na Joyce kama sikosei? one of the Moshas(yuko NY), Seame na kaka yake?
Mkuu ulifanya MUN na IAS?

Sasa Yo Yo wewe umeondoka darasa la mwaka gani?

Go Twigas
 
Last edited:
Yaani Darwin umetukimbizia YoYo jamani, usingekuwepo angetupiga fix hapa balaa, kabisa instinct zangu zinaniambia YoYo ni Mwakaleli Alumni...LMAO


Ha ha ha..Kweli mazee..naona Yo yO kaikimbia thread baada ya alumni wa ukweli kujitokeza.. Watu wengine bana..wanapenda sana misifa isiyo na kichwa wala miguu..!
 
Toleo la tatu la Alumni Newsletter linatoka karibuni. Yo Yo nategemea ushajiregister kwenye Alumni Association.
 
Back
Top Bottom