wakuu JF nzima ndio nimesoma IST?
Mkuu Yo Yo, huko IST ndio wapi??
mpemba sidhani kama umesoma IST.......acha niwatafute mate wangu.....
.....lol ina maana JF woote mmesoma shule za msondo?
mpemba mboni una mind......kausha nawasubiri mates wenzangu nyie mbon wa same sijui na zile shule gani nimezisahau mmekumbushana.....?KWENYE hii thread kuna INPUT yeyote...?
Kama hamna INPUT itabidi MODS muiwasilishe hii thread kunakohusika..kule Jokes/Utani/Ushambenga
Kwa wale tuliosoma IST.....mpo? hebu tukumbushane....i do hope tutakuwa wachache humu.....
Aise Yo Yo kumbe unatisha..nilikuwa nadhani na wewe ulisoma shule ya Sikinde kama mimi kumbe na wewe ulikuwa kulee wanakopelekwa na magari asubuhi na kurudiwa na madreva jioni...duuhh..si haba mkuu...Hongera bwana.
Humu wenzako watakuwa wachache akina Game Theory na FMES-Lol!
Yo Yo said:what's haapenin shishi......check ur PM.....
hapana mkuu.......mbona kawaida tu...ila sijui kwanini wazazi hawawapeleki watoto wao pale wakapate elimu bora...mpaka namaliza grade 10 weusi tuikuwa 6 kati ya 25 darasani.....Aise Yo Yo kumbe unatisha..nilikuwa nadhani na wewe ulisoma shule ya Sikinde kama mimi kumbe na wewe ulikuwa kulee wanakopelekwa na magari asubuhi na kurudiwa na madreva jioni...duuhh..si haba mkuu...Hongera bwana.
mpemba sikuzaliwa ndani ya kingereza nimeanza kuongea grade 1......hata wazungu wanachapia......mbona waswahili tunachapia kiswahili pia? after all kusoma IST sio ujiko sana naona kawaida sawa na aliesoma Dole secondary...Ah..huyu anatafuta ujiko tu inawezekana kaishia la saba huko kwao Karagwe..hebu msome hapa, hii dalili kweli ya mtu aliyesoma IST?
Inaonekana lugha gongana na chances are high kwamba hata HATI zake zinapandana.
mhh sijui..mbona GT kakaa kiswahili swahili sana?
Ah..huyu anatafuta ujiko tu inawezekana kaishia la saba huko kwao Karagwe..hebu msome hapa, hii dalili kweli ya mtu aliyesoma IST?
Inaonekana lugha gongana na chances are high kwamba hata HATI zake zinapandana.