Mgogo Vitani
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 482
- 842
Daah mnamsagia kunguni jamaaWewe Mkulungwa01 ....
Hebu tujaribu kuwa na maisha yenye uhalisia jabo kdg... Ww si mkurugenz wa shirika X wala Y, wala si meneja wa X wala Z.........
Then post zako za awali zinakukataa kabisa.... How comes mwaka 2019 ulipangwa Jeshi kwa mujibu then leo ushakuwa meneja cjui mkurugenzi....
Kuna namna nyingi sana za kuwasilisha uzi pasi na kutudanganya na mesej ikafika vzr tu.
Wewe ni mwanafunzi wa chuo X na ushamaliza mwaka wa pili kwa sasa.
Bado unaishi maisha ya KUSADIKIKA.
Naomba kuwasilisha