Wale tuliotoka familia masikini na tukatusua kimaisha tukutane hapa

Wewe Mkulungwa01 ....
Hebu tujaribu kuwa na maisha yenye uhalisia jabo kdg... Ww si mkurugenz wa shirika X wala Y, wala si meneja wa X wala Z.........
Then post zako za awali zinakukataa kabisa.... How comes mwaka 2019 ulipangwa Jeshi kwa mujibu then leo ushakuwa meneja cjui mkurugenzi....

Kuna namna nyingi sana za kuwasilisha uzi pasi na kutudanganya na mesej ikafika vzr tu.

Wewe ni mwanafunzi wa chuo X na ushamaliza mwaka wa pili kwa sasa.
Bado unaishi maisha ya KUSADIKIKA.

Naomba kuwasilisha
Daah mnamsagia kunguni jamaa
 
Kwa miundo ya taasisi za serikali na umri mtu anamaliza chuo na hadi kupata ajira, miaka 31 unakuwa bado daraja la pili.

Kama ni mfamasia ni pharmacy II

Kama muhasibu ni accountant II

Nk. Nk

Hata umeneja tu kuupata kwa umri huo bado Sana.

Leo dogo anatuambia ni mkurugenzi wa bodi ya Shirika la umma

Sent from my vivo 1938 using JamiiForums mobile app
 
Haya maisha muacheni mungu aitwe mungu.

Miaka 3 tu ilibadilisha kabisa upepo wa maisha, nilitengeneza zaidi ya 600m.

Katika utafutaji naamini kabisa na bahati inachangia, sikutumia nguvu kubwa sana katika utafutaji wangu na wala simjui mganga.

watu mpaka leo hawaamini mimi kuishi kwenye nyumba ya zaidi ya 200m.
 
Wanajamvi nawasalimu!

Nilipokuwa chuo niliishi maisha magumu mno, mlo nilikuwa nakula mmoja tu napo ni jioni. Home hakukuwa na hela na hawakuweza kunilipia ada. Hela yote ya boom nilikuwa naigawa kulipa madeni, ada na pango, na kubakiwa na kiasi kidogo mno ambacho hunisogeza kwa siku chache tu.

Wasichana wazuri nilikaa nao mbali kwani sikuwa na cha kuwapa. Wanasema ni bora kujifanya unazo ili uwanase, ila kwangu uongo ulikuwa ni mwiko kwani aibu ya kuumbuka ni kubwa mno. Nimeshakosa tests kadhaa chuo kwa kukosa hela ya ada ila kwa uwezo tu wa Mungu nilifanikiwa.

Home hakuna hata mmoja aliyefika advance, ni mimi tu. Dada zangu karibia wote wanne walipata mimba na hawakuweza kusoma. Mmoja ameishia form four na akafeli.

Kaka zangi wawili wameishia la saba na kufeli kuingia form one.
Pata picha hapo maisha yalivyokuwa magumu. Ilifika wakati mtaani tulikuwa tunachekwa kwani tulijazana watu wengi ndani ya nyumba moja ndogo ya vyumba vitatu, na vyote uliishi humo kuanzia baba, mama, ndugu na watoto wote.

Narudi maisha ya chuo...Chuo sikuwahi kutembelea kumbi za starehe kwani sikuwa na pesa za kutosha, na ukizingatia DSM kila weekend wanachuo hufurika kumbi zote za starehe kula bata.

Nilivaa mavazi ya kimasikini japo si sana. Nilijitahidi kusoma kwa bidii na kwa uchungu mkubwa. Hakuna 'demu' yeyote aliyenipenda katika kipindi hiki, wote walinikwepa kama kinyesi. Ila sikuwa na kawaida ya kukopa kopa hela kwa watu au kulia lia shida hovyo. Kifupi nilikuwa ni masikini jeuri.

Sijui kilitokea nini ila kwa sasa ni manager katika shirika X la serikali hapa DSM, pia ni mkurugenzi wa body X ya shirika la serikali hapa DSM. Mishahara yangu yote miwili ni 8M plus marupu rupu, kwa mwezi.

Namshukuru Mungu kwa kunifuta machozi ya muda mrefu, na hayo ndiyo maisha niliyopitia chuo.

'Mungu na awaone wengj wanaopitia kipindi kigumu kwa muda huu'

Nawasilisha, karibuni tufarijiane na tukumbushane maisha haya ya uchungu.

Kwa sasa nashukuru Mungu wanangu wanaitwa WA KISHUA. Thanks lord!

Mafanikio ya mtoto wa masikini yana thamani na uzito mara mia ukilinganisha na mafanikio ya mtoto wa kishua.

Yaani mpaka mtu unamaliza chuo tayari una elimu zaidi ya mtoto wa tajiri aliyehitimu na wewe.

Watoto wa matajiri maranyingi wanabebwa na majina ya wazazi wao, hata akienda kukopa benki akitaja ubini wake tu, anasomeka na kuaminiwa. Sisi kajamba nani misukosuko zaidi ya mia.

Mimi hata kumaliza sekondari ilibidi nijilipie ada. Chuo ilibidi niingie mtaani nizichange kwanza ndo nikajisomesha baada ya miaka mingi toka nimalize sekondari.

Umasikini siyo sifa ila nguvu, maarifa, kujitoa na ujasiri tunaowekeza katika kujikwamua ukilinganisha na tulipotoka, hakika unashangaa wakati mwingine mtu umetoboaje. Na wanaokujua yamkini wengine walikudharau wanashindwa kuamini kama kweli ni wewe.

Changamoto sasa inatokana na hayo mafanikio, utayapokeaje binafsi, wengine wanaitumia kama fursa ya kuonyesha umwamba mitaani kwa kuwekeza kwenye vitu visivyo na tija kama magari ya kifahari au vitu vya thamani badala ya kuwekeza kunakomhakikishia kesho yake. Hapa ndo unakuta baada ya muda mfupi wengi tunarudi kwenye umasikini japo siyo kwa kiwango kile cha awali.

Ni vema mtu ukitusua ukakumbuka jana yako na kujiwekea mikakati ya kulinda kesho kwa njia zote. Hii ni kutokana na kwamba leo tunazipata lakini inawezekana kesho tukakuta ile mirija imefungwa au chochote kinaweza tokea ukashuka.

Tujipange na tulinde kesho yetu.
 
Wanajamvi nawasalimu!

Nilipokuwa chuo niliishi maisha magumu mno, mlo nilikuwa nakula mmoja tu napo ni jioni. Home hakukuwa na hela na hawakuweza kunilipia ada. Hela yote ya boom nilikuwa naigawa kulipa madeni, ada na pango, na kubakiwa na kiasi kidogo mno ambacho hunisogeza kwa siku chache tu.

Wasichana wazuri nilikaa nao mbali kwani sikuwa na cha kuwapa. Wanasema ni bora kujifanya unazo ili uwanase, ila kwangu uongo ulikuwa ni mwiko kwani aibu ya kuumbuka ni kubwa mno. Nimeshakosa tests kadhaa chuo kwa kukosa hela ya ada ila kwa uwezo tu wa Mungu nilifanikiwa.

Home hakuna hata mmoja aliyefika advance, ni mimi tu. Dada zangu karibia wote wanne walipata mimba na hawakuweza kusoma. Mmoja ameishia form four na akafeli.

Kaka zangi wawili wameishia la saba na kufeli kuingia form one.
Pata picha hapo maisha yalivyokuwa magumu. Ilifika wakati mtaani tulikuwa tunachekwa kwani tulijazana watu wengi ndani ya nyumba moja ndogo ya vyumba vitatu, na vyote uliishi humo kuanzia baba, mama, ndugu na watoto wote.

Narudi maisha ya chuo...Chuo sikuwahi kutembelea kumbi za starehe kwani sikuwa na pesa za kutosha, na ukizingatia DSM kila weekend wanachuo hufurika kumbi zote za starehe kula bata.

Nilivaa mavazi ya kimasikini japo si sana. Nilijitahidi kusoma kwa bidii na kwa uchungu mkubwa. Hakuna 'demu' yeyote aliyenipenda katika kipindi hiki, wote walinikwepa kama kinyesi. Ila sikuwa na kawaida ya kukopa kopa hela kwa watu au kulia lia shida hovyo. Kifupi nilikuwa ni masikini jeuri.

Sijui kilitokea nini ila kwa sasa ni manager katika shirika X la serikali hapa DSM, pia ni mkurugenzi wa body X ya shirika la serikali hapa DSM. Mishahara yangu yote miwili ni 8M plus marupu rupu, kwa mwezi.

Namshukuru Mungu kwa kunifuta machozi ya muda mrefu, na hayo ndiyo maisha niliyopitia chuo.

'Mungu na awaone wengj wanaopitia kipindi kigumu kwa muda huu'

Nawasilisha, karibuni tufarijiane na tukumbushane maisha haya ya uchungu.

Kwa sasa nashukuru Mungu wanangu wanaitwa WA KISHUA. Thanks lord!
Usije ukajisahau watoto wakawa Type B kama ilivyokuwa kwa wazazi wako!
 
Haya maisha muacheni mungu aitwe mungu.

Miaka 3 tu ilibadilisha kabisa upepo wa maisha, nilitengeneza zaidi ya 600m.

Katika utafutaji naamini kabisa na bahati inachangia, sikutumia nguvu kubwa sana katika utafutaji wangu na wala simjui mganga.

watu mpaka leo hawaamini mimi kuishi kwenye nyumba ya zaidi ya 200m.
Ahhahahahahahhaha! Mkuu utakuwa ulibet zile "beti kichaa"! Sheriff kumfunga Real Madrid away na over ya 2.5! Ahahahahahahahah!!
 
Ahsante sana, upo huru kuwaza chochote.
Hujamaliza hata nusu mwaka tangu ujiunge JF lakini unataka kuanza uongo na utapeli. Hii thread yako unataka watu wakuombe connection maana unasema wewe ni meneja at the same time ni Mkurugenzi tena wa bodi.

Acha ushamba dogo, jiandae na September Conference. Ulidhani huku ni facebook?
 
Samahani naomba uliza maswali Machache!!

Chuo umemaliza na miaka mingapi kaka sasa hivi una 31!

At lever ya Manager kampuni nyingi sana salary scale zao huwezi vuka 5M na hapo ni zile international,labda iwe kampuni ya gumashi amabayo inakwepa mambo mengi sana serikalini! Nina mtu wangu anafanya kampuni x analipwa 15M, lakini kampuni inaendesha kimagumashi kweli kweli,hawezi hata apply skills kwenye kazi yake,he is not comfortable,MD anasema hili,mtoto wa MD nae anasema hili,Baba yake MD anasema hili,Mdogo wake MD anasema hili,kaka yake MD anasema hili! Maana yake hapa ni shamba la Bibi,beba pesa mapema kabla wenye mali,hawajakuchoka!

Mbili kwa huo umri wako,unaweza kua kwenye Bodi members ya shirika lolote la Serikali kweli?? Una uzoefu gani hadi uwe huko??

Yaani uwe Manager kwenye shirika x la serikali,the same time uwe MD kwenye Shirika jingine la serikali?? Kwan wewe unafanya kazi kwenye serikali mbili tofauti?? Huwezi kua na hizo post mbili kwenye serikali moja,labda ungesema wewe ni Polisi,the same time ni mwana eagle, Acha chai bwana! Mashirika mengi ya serikali yanayotumia SU hua yana Director General (DG) na Sio Managing Director (MD) kama unavyosema wewe!

Kama umeamua kupiga Kamba na story zakijiweni sawa! Kua Bodi member wa shirika la serikali sio kazi ndogo,ni kazi kweli kweli!
Huyu dogo ni tapeli kama hamjashtuka. Na juzi tu alivutwa mapumbu na mke wake kwaajili ya huu ujinga wake.
 
Wanajamvi nawasalimu!

Nilipokuwa chuo niliishi maisha magumu mno, mlo nilikuwa nakula mmoja tu napo ni jioni. Home hakukuwa na hela na hawakuweza kunilipia ada. Hela yote ya boom nilikuwa naigawa kulipa madeni, ada na pango, na kubakiwa na kiasi kidogo mno ambacho hunisogeza kwa siku chache tu.

Wasichana wazuri nilikaa nao mbali kwani sikuwa na cha kuwapa. Wanasema ni bora kujifanya unazo ili uwanase, ila kwangu uongo ulikuwa ni mwiko kwani aibu ya kuumbuka ni kubwa mno. Nimeshakosa tests kadhaa chuo kwa kukosa hela ya ada ila kwa uwezo tu wa Mungu nilifanikiwa.

Home hakuna hata mmoja aliyefika advance, ni mimi tu. Dada zangu karibia wote wanne walipata mimba na hawakuweza kusoma. Mmoja ameishia form four na akafeli.

Kaka zangi wawili wameishia la saba na kufeli kuingia form one.
Pata picha hapo maisha yalivyokuwa magumu. Ilifika wakati mtaani tulikuwa tunachekwa kwani tulijazana watu wengi ndani ya nyumba moja ndogo ya vyumba vitatu, na vyote uliishi humo kuanzia baba, mama, ndugu na watoto wote.

Narudi maisha ya chuo...Chuo sikuwahi kutembelea kumbi za starehe kwani sikuwa na pesa za kutosha, na ukizingatia DSM kila weekend wanachuo hufurika kumbi zote za starehe kula bata.

Nilivaa mavazi ya kimasikini japo si sana. Nilijitahidi kusoma kwa bidii na kwa uchungu mkubwa. Hakuna 'demu' yeyote aliyenipenda katika kipindi hiki, wote walinikwepa kama kinyesi. Ila sikuwa na kawaida ya kukopa kopa hela kwa watu au kulia lia shida hovyo. Kifupi nilikuwa ni masikini jeuri.

Sijui kilitokea nini ila kwa sasa ni manager katika shirika X la serikali hapa DSM, pia ni mkurugenzi wa body X ya shirika la serikali hapa DSM. Mishahara yangu yote miwili ni 8M plus marupu rupu, kwa mwezi.

Namshukuru Mungu kwa kunifuta machozi ya muda mrefu, na hayo ndiyo maisha niliyopitia chuo.

'Mungu na awaone wengj wanaopitia kipindi kigumu kwa muda huu'

Nawasilisha, karibuni tufarijiane na tukumbushane maisha haya ya uchungu.

Kwa sasa nashukuru Mungu wanangu wanaitwa WA KISHUA. Thanks lord!
Kwanini mkifanikiwa mnakua na roho mbaya sana
 
Haya maisha muacheni mungu aitwe mungu.

Miaka 3 tu ilibadilisha kabisa upepo wa maisha, nilitengeneza zaidi ya 600m.

Katika utafutaji naamini kabisa na bahati inachangia, sikutumia nguvu kubwa sana katika utafutaji wangu na wala simjui mganga.

watu mpaka leo hawaamini mimi kuishi kwenye nyumba ya zaidi ya 200m.
Tupe mbinu mkuu, ulifanyaje au mishe gani hizo?
 
Back
Top Bottom