We jamaa hata mimi nahisi kuna chai kwenye huu uzi. Hebu tuwekane sawa kwanza. Unamaanisha wewe ni mwenyekiti wa bodi ya taasisi fulani ya serikali au mkurugenzi?. Hivi vyeo vyako hebu viweke vizuri, ni meneja wa nini hasa na ni mkurugenzi wa bodi au mwenyekiti wa bodi?Yes bro, si uongo. Ni mkurugenzi wa bodi fulani, inawezekana.