GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,694
- 109,128
Labda tu GENTAMYCINE nisipate Kipato au Utajiri au Mafanikio ila nje ya Kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa Baraka zake na Kunifanikisha nina List ya Watu wangu 35 na Watu Watano ( 5) wako hapa JamiiForums na hii ID yangu Wanaijua na kunijua ndani nje na hao 20 ni wa Kwingineko (Ndugu, Jamaa na Marafiki) hawa Wote GENTAMYCINE nimeapa kama si Wao basi Watoto wao au Wake zao lazima waje Kula mno MATUNDA yangu Mafanikio yangu ya Kimaisha pale Maulana / Mola AKINIUMBA Kimaisha.
Asante ya KAULI ambayo nimewapa na naendelea kuwapa kwa kile Kidogo WALICHONISAIDIA nacho pale nikiwa SHIDANI (katika wakati Mgumu wa Kimaisha ) naona HAKIJATOSHA hivyo NIMEAPA (nimeweka NADHIRI) kuwa Milango yangu ya BARAKA ya KIMAISHA ikifunguka tu NITAWALIPA pakubwa zaidi kwa UTU na WEMA wao Kwangu GENTAMYCINE bila ya Kuwasahau YATIMA, WAJANE na WAZEE.
Ewe Mwenyezi Mungu NIINUE ili niweze Kuyatimiza haya kwani bila ya Wewe KUWAGUSA katika MIOYO yao na KUWAUMBA kwa ROHO ya UBINADAMU walizonazo kamwe wasingeweza KUNIPIGANIA, KUNISAIDIA na KUNISHAURI kuhusu Maisha na Watu.
Tusiwasahau wale WALIOTUSAIDIA.
Asante ya KAULI ambayo nimewapa na naendelea kuwapa kwa kile Kidogo WALICHONISAIDIA nacho pale nikiwa SHIDANI (katika wakati Mgumu wa Kimaisha ) naona HAKIJATOSHA hivyo NIMEAPA (nimeweka NADHIRI) kuwa Milango yangu ya BARAKA ya KIMAISHA ikifunguka tu NITAWALIPA pakubwa zaidi kwa UTU na WEMA wao Kwangu GENTAMYCINE bila ya Kuwasahau YATIMA, WAJANE na WAZEE.
Ewe Mwenyezi Mungu NIINUE ili niweze Kuyatimiza haya kwani bila ya Wewe KUWAGUSA katika MIOYO yao na KUWAUMBA kwa ROHO ya UBINADAMU walizonazo kamwe wasingeweza KUNIPIGANIA, KUNISAIDIA na KUNISHAURI kuhusu Maisha na Watu.
Tusiwasahau wale WALIOTUSAIDIA.