Wale tuliosima shule hizi njooni tujuane

Wale tuliosima shule hizi njooni tujuane

Songea Boyz (Box2) chama la wana, hiyo gari tulikuwa tunaiita 'locka' ama mkebe
 
P.o box 2,uboizini aisee wangoni ni wakalimu sana
 
Nina miaka 37 saizi ninaajira serikalini umri wangu umenda mkuu nimeajiriwa tu nikiwa na umri wa miaka 16 mwaka 1999 nina elimu na taaluma niliyopata kupitia hii kazi pia ni dereva mzuri sana niliajiriwa nikiwa mdogo sana pia nitastaafu nikiwa bado nina nguvu mana mpaka saizi nina miaka 20 kwenye chombo hiki cha utumishi bado miaka 15 tu nistaafu nitastaafu nikiwa na miaka 52 tu na nimepanga siongezi muda......na ninaomba Mungu wasiniongezee mda...mana nimechoka...
Kha nawe acha uongo, utastaafu ukiwa na miaka 52 badala ya 55?
 
Back
Top Bottom