Cannibal OX
JF-Expert Member
- Aug 27, 2014
- 3,096
- 3,478
Hii Ngonjera nzuri.Its too late kwani tayari tupo hadi ' Jikoni ' Kwenu na tutahakikisha East Africa nzima inakuwa Himaya ya Tutsi na Hima soon.
Hii Ngonjera nzuri.Its too late kwani tayari tupo hadi ' Jikoni ' Kwenu na tutahakikisha East Africa nzima inakuwa Himaya ya Tutsi na Hima soon.
Kwa sababu wewe ni mbumbumbu(hujui kitu) na huelewi ngoja nikuulize nikusaidie,
1.Wale makamu wengine wawili wanapewa vyote alivyodai Masele na nchi zao.
2.Bashite tu hapo ana walinzi wa kutoka nyumba nyeupe, yeye nani katika nchi hii? Anapewa kwa utaratibu upi?
3.Kama hujui Male ndiye anatumika kuendesha vikao vingi vya PAP kutokana na kuaminiwa kwake, huyu Rais wa PAP anagomewa na wabunge wote kwa tabia zake za hovyo. Kwa fitina anazomfanyia Masele, ana haki ya kupewa ulinzi.
Kwa hiyo ukienda shuleni ukikuta wenzako wana laptop na wew utaenda kumngangania mdingi akupe hatakama ni mchimba chumvi mbona vituko hivyo jamani
Nani asiyejua wanafunzi wanaoenda SAUT ni wale ambao alama zao na IQ zao haziruhusu kusoma vyuo bora hivyo kuishia kupooza machungu angalau na mimi nimesoma chuo kikuu kwa kwenda kwa vilaza SAUT malimbeNa ninavyojua huwezi Kusoma au hata Kukubaliwa tu kusoma SAUT Mwanza kama Wewe siyo ' Genius ' na ' Intellectual ' wa Kutukuka. IQ yangu ya Kuzaliwa pamoja na ile niliyoongezewa na Wahadhiri wangu ' Geniuses ' watupu wa SAUT akina Padre Charles Kitima, Baba Askofu na Mhadhiri wangu Kipenzi kabisa Dkt. Bernadin Mfumbusa, Dkt. Aidan Msafiri, Dkt. Dietrick Kaijanangoma ambaye sasa ndiyo Mkuu wa SJMC ( UDSM ), Dkt. Mataba ( kama ameshamaliza PhD yake ), Dkt. Robert Mkosamali, Dkt. Barrack Otieno, Dkt. Ilkuyoni, Dkt. Xavier Ng'atigwa na wengineo wengi imenifanya GENTAMYCINE niwe na hiki Kiburi, Jeuri na Mtamu kabisa ' Upstairs ' Kwangu.
Hahaha nimechekaaaa wa Tutsi huo uwezo wanautoa wapi kama tu wa hutu waliwakata kata hadi matako.....bongo mtaiwezaIts too late kwani tayari tupo hadi ' Jikoni ' Kwenu na tutahakikisha East Africa nzima inakuwa Himaya ya Tutsi na Hima soon.
Nani asiyejua wanafunzi wanaoenda SAUT ni wale ambao alama zao na IQ zao haziruhusu kusoma vyuo bora hivyo kuishia kupooza machungu angalau na mimi nimesoma chuo kikuu kwa kwenda kwa vilaza SAUT malimbe
99.9% ya ' Wanaomtetea ' Mbunge Masele hata ukiwachunguza ' IQ's ' zao zipo chini mno na zinahitaji ' Madini ' ili Kuziamsha.
hahaha nimechekaaaa wa Tutsi huo uwezo wanautoa wapi kama tu wa hutu waliwakata kata hadi matako.....bongo mtaiweza
Ndio bibi zenu waki Tutsi wanavowadanganya. .....wa hutu waliwakata matako sisi tutayafukunyua kabisa nyie leten hivo vitako vyenu ambavo havina nyama hapa.Mnataka ' Tuwatawaleni ' mara ngapi labda?
Kwa upopoma alio nao anatutajia madaktari waliomsomesha sio waliomfundisha.Hii Ngonjera nzuri.
Kwa sababu wewe ni mbumbumbu(hujui kitu) na huelewi ngoja nikuulize nikusaidie,
1.Wale makamu wengine wawili wanapewa vyote alivyodai Masele na nchi zao.
2.Bashite tu hapo ana walinzi wa kutoka nyumba nyeupe, yeye nani katika nchi hii? Anapewa kwa utaratibu upi?
3.Kama hujui Male ndiye anatumika kuendesha vikao vingi vya PAP kutokana na kuaminiwa kwake, huyu Rais wa PAP anagomewa na wabunge wote kwa tabia zake za hovyo. Kwa fitina anazomfanyia Masele, ana haki ya kupewa ulinzi.
1. Hata kama wanapewa, kwani kinachotokea kwenye nchi nyingine lazima kifanyike kwetu? Kila nchi na utaratibu wake.
2. Bashite kupewa ulinzi ni jambo la kushangaza. Sasa unataka jambo moja la kushangaza likitokea lihalalishe jingine?
3. Hana haki kwa sababu hakuna sheria inayosema apewe ulinzi
Kama hujui mkuu wa mkoa kikatiba analindwa na Bunduki 7 kikatiba, wewe utakuwa na matatizoKwa sababu wewe ni mbumbumbu(hujui kitu) na huelewi ngoja nikuulize nikusaidie,
1.Wale makamu wengine wawili wanapewa vyote alivyodai Masele na nchi zao.
2.Bashite tu hapo ana walinzi wa kutoka nyumba nyeupe, yeye nani katika nchi hii? Anapewa kwa utaratibu upi?
3.Kama hujui Male ndiye anatumika kuendesha vikao vingi vya PAP kutokana na kuaminiwa kwake, huyu Rais wa PAP anagomewa na wabunge wote kwa tabia zake za hovyo. Kwa fitina anazomfanyia Masele, ana haki ya kupewa ulinzi.
Wanafahamika muulize P wa JF!wasiwasi wangu mimi ni hii Tume ya maadili ya bunge,hii tume inatia wasiwasi sana,member hawafahamiki na maamuzi yao mengi hayaeleweki eleweki
Leo umekamatika mkuu hahahahha, umekuwa popoma leoDuh....Mkuu kwahiyo na Mimi leo ni Popoma / Mbumbumbu / Pumbavu kama ' ulivyonibatiza ' kwa Upako wa Moto na Povu jingi kama siyo kali hapo juu?