Teslarati
JF-Expert Member
- Nov 21, 2019
- 3,185
- 12,332
Ndio maana kuna jamaa aliwahi niambia hawa wanaojidai wanatetea haki za wanawake lengo lao kubwa ni kumdidimiza mwanaume tu. Na ndio maana wanakua kiherehere kuingilia mambo ya familia za watu na kukuza ugomvi kati ya mme na mke.
Haya leo mwanamke mwenzenu ameshiriki kufanya mwanamke mwenzake tena mjamzito apigwe risasi hadi kufa, na CNN imetoa ushahidi kabisa lakini utashangaa wapo kimya.
Je ukimya nj kwa sababu ukatili umefanywa na mwanamke mwenzao au nao ni vyawa?