Ndalilo
JF-Expert Member
- Jan 30, 2013
- 2,956
- 6,335
N
Nusu ilikuwa 15kHv soweto kanga shngp mkuu
Nusu ilikuwa 15kHv soweto kanga shngp mkuu
Ribs - Moshono (Hawa wana nyama safii sana ila expensive. Kuanzia 20,000 kwa piece/pande)Wapi nitapata chimbo zuri la kitimoto Arusha?
nyagi inaleta njaa sana,juzi nimepiga chupa kubwa 5 tulikua na jamaa zangu watatu,tukala kitimoto,supu ya Ng'ombe na nyama ya kukaanga ila kufika geto tukala wali samaki hotpot kubwa size ya mwisho iko full afu bado sikushibaHapo ukishaipigaa .....kwa sisi wanywaji nyagi inashuka tuuuu
Ova
Hahahahahanyagi inaleta njaa sana,juzi nimepiga chupa kubwa 5 tulikua na jamaa zangu watatu,tukala kitimoto,supu ya Ng'ombe na nyama ya kukaanga ila kufika geto tukala wali samaki hotpot kubwa size ya mwisho iko full afu bado sikushiba
sana mkuu😂 hapa nataka niichokoze vant sahivi tunaianza valentineHahahahaha
Lkn ulitendea haki nyagi
Ova
Duh safi sana kandamiza tu mzeesana mkuu😂 hapa nataka niichokoze vant sahivi tunaianza valentine
Wapi nitapata chimbo zuri la kitimoto Dodoma?
nenda kwa mahamudu pale chakechakeNipeni chimbo hapa pemba zanzibar nipo chakechake napata wapi hot chair??
Nenda Kusila house of pork masters, pork joint au WaswanuWapi nitapata chimbo zuri la kitimoto Dodoma?
Ilo jina tuu itakuwa anauza kasa huyo.nenda kwa mahamudu pale chakechake
Kusila ipo mtaa ganiNenda Kusila house of pork masters, pork joint au Waswanu