Arien
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 11,245
- 11,741
Kimanga sehemu gani boss?Kivulini pub tabta kimanga.. kuna jamaa anaitwa anold ni hatri j2 anatengeneza na kongoro watu wantoka hadi mbagala
Kimanga sehemu gani boss?Kivulini pub tabta kimanga.. kuna jamaa anaitwa anold ni hatri j2 anatengeneza na kongoro watu wantoka hadi mbagala
Huu uzi umejaa wavaa pedo wanameza mate tuTujuzane kijiwe kipi kizuri kwa hapo ulipo kinapika kitimoto chenye Quality yaani ukigusa utatamani kesho uje tena?
Kama mnavyojua Utamu wa kitimoto upate na ugari au Ndizi za kukaanga,nimeshapanga ratiba yangu leo lazima nikale kitimoto.
View attachment 942375
View attachment 942377
Nb:
Mashekhe na Maustadhi tafadharini sana msije kuutia shombo uzi huu,
Huu ni kwa sisi wala kitimoto tu ukiona haukufai kafanye mengine siyo kuja hapa.
Cc Zero IQ
Nilitaka niliseme hili
Nilikula siku moja Ila sikuielewa hiyo kitimoto yao aisee
Hata mie kuna kipindi niliikuta ya ovyo ila kama mara mbili nilishaibahatisha ikiwa nzuri kabisaNilikula siku moja Ila sikuielewa hiyo kitimoto yao aisee
Hahah dah ila ni tamu sana..Nilitaka niliseme hili
Hahhaha...ukaanza kulia kwa furaha...ukizingatia Dar Kilo moja Buku 14....Sipati picha ulivyoagiza kwa pupaNimefika karagwe huku kata ya kanoni..kitimoto elfu tatu kilo moja.. Nikakaa chini kwanza machozi ya furaha yakintiririka.
Kitimoto yapaswa kubeshimiwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes... hapo hapo ila pale bila kutoa order mapema unaweza kukaa masaa kibao
Songea nawapa shikamoo kwa Kitimoto. Kilo elfu 8 tena unapewa imetolewa ngozi kabisa. Two weeks nilifurahi mwenyewe coz pande la mbuzi lina bei kubwa kuliko nusu kilo ya KitimotoHahhaha...ukaanza kulia kwa furaha...ukizingatia Dar Kilo moja Buku 14....Sipati picha ulivyoagiza kwa pupa
Sent using Jamii Forums mobile app