Walaji wa kitimoto tujuzane kijiwe kipi kizuri kwa hapo ulipo

Morogoro -Nyuma ya Msamvu kuna jamaa anaitwa Kimaro/Kimario kuna kitimoto safi ya kuchoma
 
Tujuzane kijiwe kipi kizuri kwa hapo ulipo kinapika kitimoto chenye Quality yaani ukigusa utatamani kesho uje tena?

Kama mnavyojua Utamu wa kitimoto upate na ugari au Ndizi za kukaanga,nimeshapanga ratiba yangu leo lazima nikale kitimoto.

View attachment 942375

View attachment 942377

Nb:
Mashekhe na Maustadhi tafadharini sana msije kuutia shombo uzi huu,

Huu ni kwa sisi wala kitimoto tu ukiona haukufai kafanye mengine siyo kuja hapa.


Cc Zero IQ
Morogoro hapa nyuma ya ofisi ya immigration mkoa kwa KIMARIO.
 
Takwimu zinaonesha watu wenye tukalio tulitonona wanaongezeka kwa kasi nadhani sababu ni hii kitimoto mkuu zero uwe unapima kitako mara kwa mara
 
"Katika wanyama woote walioumbwa kitimoto kaumbika kuliko woooteeee🎶🎶,kapewa na mafuta na nywele za kizungu na kamkia kafupiii pale kwa nyumaaaa,.upate kachumbari na ndizi za kuchoma na kaserengeti baridiii pale pembeniii🎶🎶🎶🎶"
KILA MTU NA MAPENZI YAKO MIMI KITIMOTO NAIONA KAMA UHARO TU
 
Back
Top Bottom