Walaji wa Kambale Dar es Salaam poleni

Walaji wa Kambale Dar es Salaam poleni

Na kuna baba angu mmoja aliwahi niambia wanaokula huwa na umbo refu kwa waume sababu samaki wana madini mengi zink{angalieni wanaokula hawa samaki , kambale}
Umbo lipi? la mtwangio au umbo la mwili wote?,utasababisha kambare wapande bei.
 
Samaki wote wanaish kwa kula mavi hata hao wa maji chumvi,ziwani,bwanani....uliwah kuckia wap imetengwa bajeti ya kulisha samaki tz....ndio chakula chao samaki wooote hapa nchini
 
Nahisi vijana wetu biology inawahusu japo mpitie vitu basic tu. Kiumbe kinapokula kitu utumbo hufyonza vitamin na madini muhimu kukiwezesha kuishi. Na mabaki na sumu hutolewa nje ya mwili. Pia kuna exceptions....Hv mnajua mavi ya dar maeneo fulani yanamwagwa baharini pale mbele ya ikulu. Na wateja kibao wanajaa ferry kunua samaki kila siku.
Ndugu nadhani umeshamaliza kila kitu,kwa ufupi biology nadhani wanaijua reproduction pekee,na ukishazungumzia samaki basi wale wa Baharini ndo huwezi kuwala kabisa,maana bomba la maji taka linabeba mpaka vile vya hospitali,ambavyo ukuviandika hapa nadhan watu watasema samaki na wasiliwe maana wachafu
 
Mkuu maji yanapoanza kupungua na kama hakuna mvua samaki hawa hujifukia kwenye udongo/tope kama chura process inaitwa dormancy wana seaze uhai na hujifufua tena mvua inaporudi. Asa tope ndio huwasaidia hii process
dormancy=hibernation
 
Mkuu, unaongelea kambale, na wale walaji wa mboga za majani Dar es Salaam umewafikiria? Unafikiri maji yanayomwagilia mchicha na Chinese cabbage unazopenda sana yanatoka wapi?

Jaribu kuzinusa hizo mboga kwa makini pale mama anapozileta nyumbani utaipata habari yake.
Kumbe mboga nazo zinanuka mavi?
 
Kambale ni samaki mtamu Sana na mwenye minofu yakutosha tuu.. Lakini kwa wapenzi wa kambale hapa bongo poleni kwa kulishwa kambale wanaovuliwa kwenye maji taka ya Mabibo, msasani na kwingineko....
af99cd2413c636b8d6452c9a8da82e5a.jpg
c0e87e2d7748d185c291203009b91587.jpg
Acha ushamba, kambale kwa kawaida huishi kwenye tope. Tena kambale anaweza kuishi kwenye tope gumu kwa muda mrefu akihimili ukame
 
Nahisi vijana wetu biology inawahusu japo mpitie vitu basic tu. Kiumbe kinapokula kitu utumbo hufyonza vitamin na madini muhimu kukiwezesha kuishi. Na mabaki na sumu hutolewa nje ya mwili. Pia kuna exceptions....Hv mnajua mavi ya dar maeneo fulani yanamwagwa baharini pale mbele ya ikulu. Na wateja kibao wanajaa ferry kunua samaki kila siku.

UMENENA SANA MKUU ILA HAWA VILAZA HII ELIMU HAWAJIU.
 
Wanauzwa wapi hawa mi ndio nawataka hawa vitamin mingimingi hawa
 
Nahisi vijana wetu biology inawahusu japo mpitie vitu basic tu. Kiumbe kinapokula kitu utumbo hufyonza vitamin na madini muhimu kukiwezesha kuishi. Na mabaki na sumu hutolewa nje ya mwili. Pia kuna exceptions....Hv mnajua mavi ya dar maeneo fulani yanamwagwa baharini pale mbele ya ikulu. Na wateja kibao wanajaa ferry kunua samaki kila siku.
Tena Sasa hivi lile bomba la karibu na ikulu limepasuka, kwahiyo kinyesi kinaonekana wazi
 
Back
Top Bottom