Walaji wa Kambale Dar es Salaam poleni

Walaji wa Kambale Dar es Salaam poleni

Mie akipikwa napeleka pwaani tu.. Ukifkria sana mengne utakuwa huyafanyi mkuu..
 
Alietoa hii mada hajawahi kula kambare maana kambare wamajihayoo watamu kinoma kwani vitu wanavyokula vinaenda kwenye utumbo nahuwa hatuli utumbo tunautupa ukiwaosha fresh mbn utawaenjoy
 
"Ukitaka kumla bata, wacha kumchunguza" DARASA
 
Hahaaaa sijawahi kuwala hawa samaki wanavuliwa sana hasa maeneo ya sukita buguruni na vingweta
 
Nguruwe na bata ni wachafu sana
Ila
Waaataaaamu
Kwa mujibu wa walaji
Na mtoa mada unajuaga tu vitu flani, kwa kifupi
"Vichafu vitamu"
Hatakile kitu kingine kichafu lakini kitamu.
 
🤮🤮🤮🤮🤮🤮🤮🤮🤮🤮🤮🤮🤮🤮
 
Ile ina rangi ya njano hivi. Halafu kambale mamba = kamongo na magamba. Hawa wa Dar hawana magamba...
Hivi huko kanda ya ziwa kambale siyo kamongo? Kambongo wana ile kipande ya mkiani inaitwa lubhee. Hatari sana. Kamongo tamu kusinda nyaaama.
 
Kuna Mzee wangu mmoja hapo mbagala kaletewa hao kamballe wawili, wakubwaaa, wamenonaaa, mzee kasema yes, achemshwe kama mchemsho.... Baada ya kuanza kuchemka tu sufuria ilijaa povu, ikabidi wawamwage... Tuwe makini sana na hii Habari ya kambale wa Dar
 
Povu kawaida kama hukumwosha vizuri ule uteute wake. Njoo huku uyui tukufundishe kuwapika. Kambale nazi na ubwabwa ni balaa,unaweza ukamaliza mchele kilo mbili
Kuna Mzee wangu mmoja hapo mbagala kaletewa hao kamballe wawili, wakubwaaa, wamenonaaa, mzee kasema yes, achemshwe kama mchemsho.... Baada ya kuanza kuchemka tu sufuria ilijaa povu, ikabidi wawamwage... Tuwe makini sana na hii Habari ya kambale wa Dar
 
Mkuu maji yanapoanza kupungua na kama hakuna mvua samaki hawa hujifukia kwenye udongo/tope kama chura process inaitwa dormancy wana seaze uhai na hujifufua tena mvua inaporudi. Asa tope ndio huwasaidia hii process
Atakula nini mfano maji yamekauka mwaka mzima?
 
Kamongo ni wengine.

Dar ufugaji wa kambale kwenye mabwawa majumbani umeshika kasi kwa hiyo hizi za mavi ni porojo tu

"Kamongo yasinda nyama,kwa maharage inatoa droo" -Msemo wa wajaluo
 
Back
Top Bottom