Walaji wa Kambale Dar es Salaam poleni

Walaji wa Kambale Dar es Salaam poleni

Duh kwa hyo watu wanaingia hadi katika hay mashimo ya maji taka na kuvua
 
Mimi sili kabisaaa hao Samaki ...vyakula vya watu wa bara
You are missing alot, nikama mtu wa bara akikataa kula kamba, kaa, kamba koche, pweza. Kisa eti mamiguu yao yanatia kinyaa!!! Hahaha
 
unashangaa kambale wa mtaroni hushangai kuku mla kinyesi na bata mla vilivyooza ?
Kuku anakula mpaka nyoka, mkamete na umchinje muda huohuo, nyoka hutomuona, na sumu aliyonayo nyoka haitakufhuru.
 
Kamongo, mumi, mbofu, gogogo, nembe, ningu, soga, furu na wengineo nawafahamu sana mkuu. Ila huko kanda ya ziwa baadhi ya watu uwaita hao kamongo kwa jina la kambale. Japo wengine utumia jina la kambale kumaanisha mumi. Je unajua kwamba kuna aina fulani ya furu wanaitwa nyarukuku?
Nyarukuku nawajua muu, nawajua furu mbabhe nimekulia ziwani aisee.
 
Huyo samaki kanipitia kushoto. Simtakagi hata bure. Siyo kwa sababu ya mazingira anayotoka. Ni kwa sababu ya shombo lake too much
 
Arusha tumeshazoea tunakula kambale Wa bwawa la mavi wanavuliwa pale lemala sinoni.
 
Tunalijua hilo ndo maana tunawagombania popote walipo...
 
Lile tendo huitwa harbanation, kimatamshi ambapo huzuia aina fulani ya uchomaji wa chakula cha mwili ili akae bila kufa kipindi cha njaa/ukame
 
Back
Top Bottom