Wala kitimoto tahadhari: It's not a tumor, It's a brain worm

Wala kitimoto tahadhari: It's not a tumor, It's a brain worm

Sasa tafsiri ya NAJISI, ndio Bwana Yesu Kristo, aliyekufa msalabani kwaajili ya dhambi zetu (mimi na wewe) , alikujanayo katika Marko.
Acha uongo, hiyo ni tafsiri yako alafu imekaa kikatoliki katoliki hivi
 
Wanapoambiwa msile nguruwe ni haramu, hata biblia imeandika hivyo, wao wamo tu.
Utamu wa kitimoto hauna tofauti na utamu wa pale palipowekwa ukimwi,haina tofauti na wewe kuambiwa muhogo wa jang'ombe ni haramu.
 
Hivi kuna haramu ambayo inaruhusiwa kwenye conditions fulani...?

“Nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hacheui; kwenu ni najisi. Kwa sababu wanyama hao ni najisi msile nyama yao wala msiguse mizoga yao”(Walawi 11: 7 – 8).
 
Hapa nilipo namalizia vipande vyangu kadhaa vya hotchair na ugali wangu. Mwenye wivu ajinyonge.
 
“Nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hacheui; kwenu ni najisi. Kwa sababu wanyama hao ni najisi msile nyama yao wala msiguse mizoga yao” (Walawi 11: 7 – 8).
Ukisoma hapo hapo kwenye walawi 11:7 na kuendelea wanyama najisi wametajwa na wakwanza kutajwa ni ngamia. Mbona nyie ngamia mnakula? Na sisi ngamia hatuli
 
Siambiliki kuhusu huyu mnyama[emoji200][emoji241]hata mseme nikila leo nakufa kesho nakula tu
 
Ukisoma hapo hapo kwenye walawi 11:7 na kuendelea wanyama najisi wametajwa na wakwanza kutajwa ni ngamia. Mbona nyie ngamia mnakula? Na sisi ngamia hatuli

Hicho ni kitabu chenu kimewakataza. Kumbuka hilo.
 
“Nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hacheui; kwenu ni najisi. Kwa sababu wanyama hao ni najisi msile nyama yao wala msiguse mizoga yao” (Walawi 11: 7 – 8).

Sipendagi kabisa watu wanafiki kama wewe, umeshindwa nini kuweka kuanzia mstari wa 4?? Au unaogopa unafiki wenu kuumbuliwa??? Ngoja nikusaidie

"4 ‘Ila hiki ndicho ambacho hamtakula kati ya wacheuaji na wenye ukwato uliopasuka: ngamia, kwa sababu ni mcheuaji lakini hana ukwato uliopasuka. Huyo si safi kwenu.+ 5 Pia wibari,+ kwa sababu ni mcheuaji lakini hana ukwato uliopasuka. Huyo si safi kwenu. 6 Pia sungura,+ kwa sababu ni mcheuaji lakini hana ukwato uliopasuka. Huyo si safi kwenu.7 Pia nguruwe,+ kwa sababu ana ukwato uliopasuka naye ana mwanya kwenye ukwato, lakini yeye mwenyewe hacheui. Huyo si safi kwenu. 8 Msile yoyote kati ya nyama zao, wala msiguse mizoga yao.+ Hao si safi kwenu." (Walawi 11:4-8)

Mbona huyo huwa mnamla tena mnampigia dua kabisa kabla ya kumchinja?? Uache kutumia Biblia yetu kiujanja ujanja, namna hiyo katumie kwenye msaafu wenu.
Hofyo kabisa..!!!!
 
Sipendagi kabisa watu wanafiki kama wewe, umeshindwa nini kuweka kuanzia mstari wa 4?? Au unaogopa unafiki wenu kuumbuliwa??? Ngoja nikusaidie

"4 ‘Ila hiki ndicho ambacho hamtakula kati ya wacheuaji na wenye ukwato uliopasuka: ngamia, kwa sababu ni mcheuaji lakini hana ukwato uliopasuka. Huyo si safi kwenu.+ 5 Pia wibari,+ kwa sababu ni mcheuaji lakini hana ukwato uliopasuka. Huyo si safi kwenu. 6 Pia sungura,+ kwa sababu ni mcheuaji lakini hana ukwato uliopasuka. Huyo si safi kwenu.7 Pia nguruwe,+ kwa sababu ana ukwato uliopasuka naye ana mwanya kwenye ukwato, lakini yeye mwenyewe hacheui. Huyo si safi kwenu. 8 Msile yoyote kati ya nyama zao, wala msiguse mizoga yao.+ Hao si safi kwenu." (Walawi 11:4-8)

Mbona huyo huwa mnamla tena mnampigia dua kabisa kabla ya kumchinja?? Uache kutumia Biblia yetu kiujanja ujanja, namna hiyo katumie kwenye msaafu wenu.
Hofyo kabisa..!!!!
Hapa ndio huwa mnaniacha hoi.... nyinyi ni watu wa imani, lakini kwanin mnapingana?.... nani mwenye Mungu sahihi kati yenu?? Katika jambo lilonishinda kwenye imani ni hii mikanganyiko mna bahati mmezaliwa na wazazi waliokuwa wnafuata mnavyoviamini leo... mnaishi kimazoea na mafundisho mliyopewa.... hata uwe na IQ kubwa kiasi gani, haiwezi kukusaidia kwenye haya masuala.... ni magumu sana kueleweka. Akili haiplay role kwenye imani...
 
Hata samaki wasio na magamba wanakula ukija kwa mr fire chair wanajifanya hawali
 
Watu acha wale kwa imani zao.

Unajua wkt mwingine mie hushangaa sana, watu tunatishwa kila siku oh mara nguruwe ana nini mara sijui kitu gani. Mimi nadhan kwa mtu asiyetumia aache wanaotumia wale isiwe taabu kutishana mara hiki mara kile. Huyo mnyama watu wamekula maelfu ya miaka iliyopita na wanaendelea kula na akili zinafanya kazi wanafanya ugunduzi maisha yanaendelea. Kama hutumii acha tu si hutapata hiyo minyooo kwan kinakuuma nini? Hizo nyama za mbuzi si nazo mnasema zina sijui vitu gan, samaki nao saiz wanakula sumu toka maeneo mbalimbali, hiyo mi broiler mnayoshindia inakozaliwa na kuliwa baada ya wiki3 si nayo inanenepeshwa na madawa lukuki? Jaman, nguruwe wacha watu waendelee kula alimradi imeandaliwa na kuiva vzr tusitishane kwakweli
 
Hii stori nimeisoma mwaka 2008 kama sikosei. Ndipo nilipoacha kula kitimoto
 
“Nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hacheui; kwenu ni najisi. Kwa sababu wanyama hao ni najisi msile nyama yao wala msiguse mizoga yao”(Walawi 11: 7 – 8).
ha ha haaa...bado sijapata logic kwamba kucheua kunahusianaje na kula ama kutokula nyama ya kitu fulani vipi kwani akicheua nyama yake inabadilika inakua sumu???...wajinga ndo waliwao. dini ni utumwa. utumwa wa kifikra ni hatari...
### TEAM WAFIA DINI ###
 
Back
Top Bottom