Wala kitimoto tahadhari: It's not a tumor, It's a brain worm

Wala kitimoto tahadhari: It's not a tumor, It's a brain worm

Wanapoambiwa msile nguruwe ni haramu, hata biblia imeandika hivyo, wao wamo tu.
Ukifatilia sana kisayansi na kibiblia mwanadamu hakuumbwa na uwezo wa kula nyama yoyote ile ndo asili yake ktk uumbaji wake... yeye ni wa matunda,mbogamboga za kondeni na nafaka tu. Hata sayansi inaonesha matokeo mazuri mtu akiishi kwa kula hivyo.
 
Kitabu cha mungu lazima kishabihiane na ugynduzi was kibinadamu was sasa.Ukiona kitabu kikisadikika ni cha mungu halafu sayansi ya sasa inakipiku.Aisee rudi kamuulize kiongozi wako wa dini akupe majibu juu ya ukweli wavimani hiyo.
 
Kila kitu kina madhara. Hata nyama pia. Bora madhara ya kitimoto kuliko ya nyama
 
“Nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hacheui; kwenu ni najisi. Kwa sababu wanyama hao ni najisi msile nyama yao wala msiguse mizoga yao” (Walawi 11: 7 – 8).
Hizi amri zilitolewa kwa pamoja na ile iliyotuzuia kula nyama ya ngamia, samaki asiye na magamba, sungura, bata na baadhi ya ndege wengine. Sema ni vile tu Miungu iko mingi kila mmoja kwa wkt na mahali pake hutoa sheria zake tofauti na za Mungu mwingine... Mambo yakawa tofauti ktk hayo.
 
“Nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hacheui; kwenu ni najisi. Kwa sababu wanyama hao ni najisi msile nyama yao wala msiguse mizoga yao” (Walawi 11: 7 – 8).
...Kwanza kwenye Biblia hakuna kitabu Cha Walawi bali Kipo Mambo ya Walawi we Icho chako sijui umekitoa wapy

Back from the topic


MAMBO YA WALAWI 11:4-8

Pamoja na hayo, wanyama hawa hamtawala katika wale wenye kucheua, na, na katika wale walio na kwato; ngamia, kwa sababu yuacheua ila hana kwato, yeye ni najisi kwenu

Na wibari, kwa sababu yeye hucheua ila hana kwato, yeye ni najisi kwenu

Na sungura, kwa sababu hucheua ila hana kwato, yeye ni najisi kwenu

Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati , lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu

Msiile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao; hao ni najisi kwenu

Sasa hapo mbona hakutajwa nguruwe pekee Kuna hayawani wengi wameorodhesha kwenye list
Why nguruwe There must be something going on!
Kama kweli ungekua unalifuata agizo la Walawi(Kama ulivyo liandika) na ngamia angekua najisi Kwa sababu na yeye yumo
Ila kuna stori nazisikia kua Ili Kumchinja Ngamia ni mpaka asomewe Dua na Akubali na Asipokubali ukamchinja nyama yake huwa chungu

[HASHTAG]#SAY[/HASHTAG] NO TO NGURUWE
[HASHTAG]#SAY[/HASHTAG] NO TO NGAMIA
[HASHTAG]#SAY[/HASHTAG] NO TO SUNGURA
[HASHTAG]#SAY[/HASHTAG] NO TO WIBARI.
 
Leteni propaganda zenu wee lakini sisi tunaendelea kugonga mdudu tu kwa raha zetu.
 
Tatizo la hao uwa wanakula nyama mbichi,tofauti na huku anachemshwa anakaangwa anakaushwa.siachi kitimoto ni tamu aseeeh
 
Tutaendelea kula na hiyo minyoo ishindwe kwa damu ya Yesu aliye hai.
d48d5a2cd03613eda4c78d98233b856f.jpg
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Paulo anawadanganya nyinyi.

Yesu anasema hakuja kutenguwa taurati, sasa wewe na huyo Petro na Yesu nani zaidi?
Malizia hapohapo ktk kutokuja kutengua torati kwa hekima ya juu utajua maana ya kuja kuikamilisha, tumia ule mfano wa mwanamke mzinifu aliyeletwa kwake ili aipitishe amri ya torati kuhusu uzinifu, hakuja kuitengua bali kuikamilisha, hukumu aliyoitoa iliikamilisha torati, UPENDO ndo uliokuwa na torati si kuuana. Vingi vilikamilishwa kihivyo, hapo ndo watu wapatapo na mashaka na ujio wa mwingine aliyeukataa ukamilisho huo ambao hâta kwa kipofu huuona ukweli wa kiungu ktk ukamilisho huo, mashaka nadhani huanzia hapo kwa alichokileta, aliyemtuma, yeye mwenyewe, Je ni wa mfululizo uleule wa Nabii Issa mtoto wa Mariamu ?
 
::::WALAJI WENZANGU WA NYAMA HII TAMU AJABU::
-->>UNAPOTAKA KUINJOY MDUDU HUYU,KWANZA MKATE VIPANDE VIDOGO VYA KIASI,KISHA CHEMSHA KWA DAKIKA 15,KISHA IKAANGE MPAKA IWE NYEKUNDU,YOU ARE SAFE NOW.
RUSSIA,CHINA,USA,FRANCE, U.K AND ALL WORLDS DEVELOPED COUNTRY EAT THIS DUDE...""
 
Na wewe unafakamia tu? Ndiyo maana mnafyatuana mpaka makanisani wanaume kwa wanaume, najisi tupu.
Hivi kilimanjaro na Mombasa wapi mchezo mchafu umeshamiri zaidi, ushoga na ubasha namanisha ?
 
Back
Top Bottom