Wala kitimoto tahadhari: It's not a tumor, It's a brain worm

Wala kitimoto tahadhari: It's not a tumor, It's a brain worm

...Kwanza kwenye Biblia hakuna kitabu Cha Walawi bali Kipo Mambo ya Walawi we Icho chako sijui umekitoa wapy

Back from the topic


MAMBO YA WALAWI 11:4-8

Pamoja na hayo, wanyama hawa hamtawala katika wale wenye kucheua, na, na katika wale walio na kwato; ngamia, kwa sababu yuacheua ila hana kwato, yeye ni najisi kwenu

Na wibari, kwa sababu yeye hucheua ila hana kwato, yeye ni najisi kwenu

Na sungura, kwa sababu hucheua ila hana kwato, yeye ni najisi kwenu

Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati , lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu

Msiile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao; hao ni najisi kwenu

Sasa hapo mbona hakutajwa nguruwe pekee Kuna hayawani wengi wameorodhesha kwenye list
Why nguruwe There must be something going on!
Kama kweli ungekua unalifuata agizo la Walawi(Kama ulivyo liandika) na ngamia angekua najisi Kwa sababu na yeye yumo
Ila kuna stori nazisikia kua Ili Kumchinja Ngamia ni mpaka asomewe Dua na Akubali na Asipokubali ukamchinja nyama yake huwa chungu

[HASHTAG]#SAY[/HASHTAG] NO TO NGURUWE
[HASHTAG]#SAY[/HASHTAG] NO TO NGAMIA
[HASHTAG]#SAY[/HASHTAG] NO TO SUNGURA
[HASHTAG]#SAY[/HASHTAG] NO TO WIBARI.

Wewe fakamia tu mpaka siku yakukute ndiyo utaelewa.
 
Labda. Biblia uliyoandika wewe! Hakuna kitu kimuingiacho mtu kikamtia najisi kwa maneno hayo alibariki vyakula vyote, soma Marko 7
nguruwe ni najisi hafai kwa chakula cha binadamu soma walawi 11
 
...Kwanza kwenye Biblia hakuna kitabu Cha Walawi bali Kipo Mambo ya Walawi we Icho chako sijui umekitoa wapy

Back from the topic


MAMBO YA WALAWI 11:4-8

Pamoja na hayo, wanyama hawa hamtawala katika wale wenye kucheua, na, na katika wale walio na kwato; ngamia, kwa sababu yuacheua ila hana kwato, yeye ni najisi kwenu

Na wibari, kwa sababu yeye hucheua ila hana kwato, yeye ni najisi kwenu

Na sungura, kwa sababu hucheua ila hana kwato, yeye ni najisi kwenu

Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati , lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu

Msiile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao; hao ni najisi kwenu

Sasa hapo mbona hakutajwa nguruwe pekee Kuna hayawani wengi wameorodhesha kwenye list
Why nguruwe There must be something going on!
Kama kweli ungekua unalifuata agizo la Walawi(Kama ulivyo liandika) na ngamia angekua najisi Kwa sababu na yeye yumo
Ila kuna stori nazisikia kua Ili Kumchinja Ngamia ni mpaka asomewe Dua na Akubali na Asipokubali ukamchinja nyama yake huwa chungu

[HASHTAG]#SAY[/HASHTAG] NO TO NGURUWE
[HASHTAG]#SAY[/HASHTAG] NO TO NGAMIA
[HASHTAG]#SAY[/HASHTAG] NO TO SUNGURA
[HASHTAG]#SAY[/HASHTAG] NO TO WIBARI.
Unataka ujue kwanini ni nguruwe tu ndo wameshadadia sana wakati hata hakutajwa wa mwanzoni kabla ya wengine ? Mi sina jibu ila huwa najifikirisha inatoka wapi imani ya kwamba ukiweka mifupa ya nguruwe ndani majini ya kiarabu hayakuingilii mwilini au ndani mwako kukusumbua, inaaminika hayo majini hayana urafiki na mnyama huyu. Chanzo haswa hapo silijui ila huwa sipati jibu kwanini kambi hii inafanana nao karibuni kila idara na wanateteana sana. Nisaidie kufikiri kidogo hapo ndugu.
 
d48d5a2cd03613eda4c78d98233b856f.jpg
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Walio juu tusiwajue au ? Mi naona ulaji wa kila nyama ni dhambi kwakuwa una madhara kwa afya ya mwili na akili na kiroho pia. Mi nakula ila ukweli ndo huo.
 
I won't stop eating pork there are so many factors which led to Rosemary's situation ie geographically factors,how frequent u eat it, how it is prepared etc

Nyama tamu hii balaaa
 
Unataka ujue kwanini ni nguruwe tu ndo wameshadadia sana wakati hata hakutajwa wa mwanzoni kabla ya wengine ? Mi sina jibu ila huwa najifikirisha inatoka wapi imani ya kwamba ukiweka mifupa ya nguruwe ndani majini ya kiarabu hayakuingilii mwilini au ndani mwako kukusumbua, inaaminika hayo majini hayana urafiki na mnyama huyu. Chanzo haswa hapo silijui ila huwa sipati jibu kwanini kambi hii inafanana nao karibuni kila idara na wanateteana sana. Nisaidie kufikiri kidogo hapo ndugu.
....Tumsubiri Faizafoxy aje atupe majibu ni kwa nini nguruwe ni najisi labda atakua anajua!
 
mdudu korofi ni kwere nyie hayo maminyoo yakae tu ubongoni yawe overpopulated yatakufa tu yenyewe
 
Tumeambiwa kuna ukimwi na bado watu wanazini itakua kitimoto .... embu tuache kwanza.
Duh, mkuu hapo umewakamata, halafu wanajifanya hawalagi humu Jamvini lkn kwenye foleni tupo nao.
 
Wanapoambiwa msile nguruwe ni haramu, hata biblia imeandika hivyo, wao wamo tu.
haramu kivipi? Mtu atafute nyama akaikosa kwa sababu alikua jangwani, kwa sababu ya harisa eti awaambie wafuasi wake ni haramu
 
haramu kivipi? Mtu atafute nyama akaikosa kwa sababu alikua jangwani, kwa sababu ya harisa eti awaambie wafuasi wake ni haramu

“Nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hacheui; kwenu ni najisi. Kwa sababu wanyama hao ni najisi msile nyama yao wala msiguse mizoga yao”(Walawi 11: 7 – 8).
 
Shida ni kwamba hata usipokula bado huwezi kuishi miaka 120 hapa duniani..

Nakumbuka sana kauli ya mwalimu wa Additional Mathematics nikiwa kidato cha 3...


Hapa duniani kuna vitu viwili ambavyo huwezi kuvikwepa;;;

1.Kifo

2.Uzee.
 
Nina marafiki zangu Wa kisabato na kiislamu wanagonga hii kitu kwa siri kama hawana akili nzuri
 
“Nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hacheui; kwenu ni najisi. Kwa sababu wanyama hao ni najisi msile nyama yao wala msiguse mizoga yao” (Walawi 11: 7 – 8).
Hapo ndo napo wapendea waislamu maana mnaifahamu biblia vilivyo, good work muwasaidie na waumini wenzenu wengine bas waifahamu bibble mkuu
 
Back
Top Bottom