Wanaume ni dhaifu ataanza teseka Hadi apate pressure Bure kakangu mwenyewe nione anaona single mother nitaanzisha kampeni ya kupinga staki ndugu yangu afe na stress maana wengi Huwa hawapendekagi kabisaAiseee
Naomba ushauri nipo katika state mbaya sana
Huo mradi umetumia sh ngapi?Vipi kuhusu kamradi nilikomfungulia ?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Akome Tena
Maskini weeeeeee..na Mradi ukamfungulia😔😔😔Vipi kuhusu kamradi nilikomfungulia ?
Kwanini?
Kua na huruma na mtoto wa mwanamke mwenzioEeeeeh akome kabisaaa
Maneno makali Sana [emoji24]Ulifikiri alyezaa naye hana thamani kwake? Kwa sababu unampa chakula?
Kua na huruma na mtoto wa mwanamke mwenzio
Mama D kuwa serious kijana anaangamia🤣Ukome
Maneno makali Sana [emoji24]
Ni Kama mill 6-7 duka Fulani la vipodoziHuo mradi umetumia sh ngapi?
Kuna singo mama mmoja nilikua nae serious kwenye mahusiano baba wa mtoto anasema alimtelekeza nikatoa visent vyangu kutunza yeye na mtoto bila hiana kiroho Safi Sasa LEO NADHANI ALISAHAU KUNI "HIDE" WhatsApp status kampost baba wa mtoto kumuwish heri ya siku yake ya kuzaliwa na maneno kede kede ,ITOSHE KUSEMA NIMEISHIWA NGUVU ,,naombeni mnipe nini Cha kufanya baada ya kupata NGUVU hapo baadae
Dah nimeishiwa nguvuMaskini weeeeeee..na Mradi ukamfungulia[emoji17][emoji17][emoji17]
Sana sana humu watu wengi watakushauri ukamfanyizie. Lakini ushauri wangu kwako ni kuachana naye aende kwa amaniKuna singo mama mmoja nilikua nae serious kwenye mahusiano baba wa mtoto anasema alimtelekeza nikatoa visent vyangu kutunza yeye na mtoto bila hiana kiroho Safi Sasa LEO NADHANI ALISAHAU KUNI "HIDE" WhatsApp status kampost baba wa mtoto kumuwish heri ya siku yake ya kuzaliwa na maneno kede kede ,ITOSHE KUSEMA NIMEISHIWA NGUVU ,,naombeni mnipe nini Cha kufanya baada ya kupata NGUVU hapo baadae