Wakuu wa Wilaya hawa hapa!

[QUOTE=Maundumula;3880524]Mikoa 25 kila mkoa atleast wilaya 3 = angalau wakuu wa wilaya 70, Rupurupu + Salary * 75 =

Naomba kuuliza majukumu ya hawa wakuu wa wilaya, na je wanapimwa kila muda gani? na je wasipofanikisha nini kinawafikia? je wakifanya vizuri nini wanapewa?

Kwa kifupi napenda kujua kama hii kazi ina performance related bonuses na kama anayeshindwa anaweza kutolewa![/QUOTE]


Kimsingi hawa ni viongozi wa sehemu husika kichama. Hawana majukumu yoyote zaidi ya kushughulikia mambo ya kichama ie vikao sherehe ufunguzi wa miradi nk. Wakizembea zawadi ni kuhamishwa au kuachwa kuteuliwa kabisa. Ukifanya vizuri hata kama ni kwa kugandamiza demokrasia unaambulia kupandishwa cheo kuwa mkuu wa mkoa nk. Hawa walitakiwa wahudumiwe kichama lakini ndio hivyo tena mishahara yao inatokana na kodi zetu.

Katiba inayoandaliwa iondoe hivi vyeo vinavyokula hela yetu bila kuleta tija kwa wanachi.
 
Hongera zao kwa kupata ulaji ila wajue katiba ijayo rais hatakuwa na mamlaka ya kuteua wakuu wa wilaya. Tume ya kukusanya maoni ya katiba mpaya ikifika huku niliko ntapendekeza nafasi ya mkuu wa wilaya ifutwe kwani inaongeza gharama za uendeshaji wa serikali.
 
Mbona huyu munafiki kasahulika eeeeee jamani huruma ( F. KIBONDE ) na ushabiki wako wote wa Uemc ndani ya chama hakuna ki2 du jua ccm ina wenyewe.
 
MAJINA YA WAKUU WA WILAYA WAPYA 70 NA VITUO VYAO VYA KAZI

NA.KITUO CHA KAZI
1.Novatus MakungaHai
2.Mboni M. MgazaMkinga
3.Hanifa M. SelunguSikonge
4.Christine S. MndemeHanang
5.Shaibu I. NdemangaMwanga
6.Chrispin T. MeelaRungwe
7.Dr. Nasoro Ali HamidiLindi
8.Farida S. MgomiMasasi
9.Jeremba D. MunasaArumeru
10.Majid Hemed MwangaLushoto
11Mrisho GamboKorogwe
12.Elias C. J. TarimoKilosa
13.Alfred E. MsovellaKiteto
14.Dkt. Leticia M. WariobaIringa
15.Dkt. Michael Yunia KadegheMbozi
16.Mrs. Karen YunusSengerema
17.Hassan E. MasalaKilombero
18.Bituni A. MsangiNzega
19.Ephraem Mfingi MmbagaLiwale
20.Antony J. MtakaMvomero
21.Herman Clement KapufiSame
22.Magareth Esther Malenga Kyela
23.Chande Bakari NalichoTunduru
24.Fatuma H. ToufiqManyoni
25.Seleman LiwowaKilindi
26.Josephine R. MatiroMakete
27.Gerald J. GuninitaKilolo
28.Senyi S. NgagaMbinga
29.Mary TeshaUkerewe
30.Rodrick MpogoloChato
31.Christopher MagalaNewala
32.Paza T. MwamlimaMpanda
33.Richard MbehoBiharamulo
34.Jacqueline LianaMagu
35.Joshua MirumbeBunda
36.Constantine J. KanyasuNgara
37.Yahya E. NawandaIramba
38.Ulega H. AbadallahKilwa
39.Paul MzindakayaBusega (mpya)
40.Festo KiswagaNanyumbu
41.Wilman Kapenjama Ndile Mtwara
42.Joseph Joseph MkirikitiSongea
43.Ponsiano NyamiTandahimba
44.Elibariki Immanuel KinguKisarawe
45.Suleiman O. KumchayaTabora
46.Dkt. Charles O. F. MlingwaSiha
47.Manju MsambyaIkungi (mpya)
48.Omar S. Kwaangw’Kondoa
49.Venance M. MwamotoKibondo
50.Benson MpesyaKahama
51.Daudi Felix NtibendaKaratu
52.Ramadhani A. ManenoKigoma
53.Sauda S. MtondooRufiji
54.Gulamhusein KifuMbarali
55.Esterina KilasiWanging’ombe (mpya)
56.Subira MgaluMuheza
57.Martha UmbulaKongwa
58.Rosemary KiriginiMeatu
59.Agness HokororoRuangwa
60.Regina ChonjoNachingwea
61.Ahmed R. Kipozi Bagamoyo
62.Wilson Elisha Nkhambaku Kishapu
63.Amani K. Mwenegoha Bukombe
64.Hafsa M. Mtasiwa Pangani
65.Rosemary Staki Senyamule Ileje
66.Selemani Mzee Selemani Kwimba
67.Lt. Col. Ngemela E. Lubinga Mlele (mpya)
68.Iddi Kimanta Nkasi
69.Muhingo Rweyemamu Handeni
70.Lucy Mayenga Uyui

MAJINA 63 WAKUU WA WILAYA WA ZAMANI NA
VITUO VYAO VYA KAZI

NA.JINAKITUO CHA KAZI
1.James K. O. MillyaLongido
2.Mathew S. SedoyekaSumbawanga
3.Fatuma L. KimarioIgunga
4.Capt. (Mst.) James C. YamunguSerengeti
5.Lt. (Mst.) Abdallah A. KihatoMaswa
6.Sarah DumbaNjombe
7.Jowika W. KasungaMonduli
8.Elizabeth C. MkwasaBahi
9.Col. Issa E. NjikuMisenyi
10.John B. HenjeweleTarime
11.Elias W. LaliNgorongoro
12.Raymond H. MushiIlala
13.Francis MitiUlanga
14.Evarista N. KalaluMufindi
15.Mariam S. LugailaMisungwi
16.Anna J. MagowaUrambo
17.Anatory K. ChoyaMbulu
18.Fatma Salum AllyChamwino
19.Deodatus L. KinawiroChunya
20.Ibrahim W. MarwaNyang’hwale (mpya)
21.Dkt. Norman A. SigallaMbeya
22.Moshi M. Chang’aMkalama (mpya)
23.Jordan M. RugimbanaKinondoni
24.Georgina E. BundalaItilima (mpya)
25.Halima M. KihembaKibaha
26.Manzie O. MangochieGeita
27.Abdula S. LutaviNamtumbo
28.Zipporah L. PanganiBukoba
29.Dkt. Ibrahim H. MsengiMoshi
30.Col. Cosmas KayomboKakonko (mpya)
31.Lembris M. KipuyoMuleba
32.Elinasi A. PallangyoRombo
33.Queen M. MloziSingida
34.Juma S. MadahaLudewa
35.Angelina MabulaButiama (mpya)
36.Hadija H. NyemboUvinza (mpya)
37.Ernest N. KahindiNyasa (mpya)
38.Peter T. KiroyaSimanjiro
39.John V. K. MongellaArusha
40.Baraka M. KonisagaNyamagana
41.Husna MwilimaMbogwe (mpya)
42.Sophia E. MjemaTemeke
43.Francis IsaacChemba (mpya)
44.Abihudi M. SaideyaMomba (mpya)
45.Khalid J. MandiaBabati
46.Anna Rose NyamubiShinyanga
47.Dani B. MakangaKasulu
48.Amina J. MasenzaIlemela
49.Mercy E. SillaMkuranga
50.Christopher R. KangoyeMpwapwa
51.Lt. Edward O. LengaKalambo (mpya)
52.Halima O. DendegoTanga
53.Lephy B. GembeDodoma
54.Saidi A. AmanziMorogoro
55.Jackson W. MsomeMusoma
56.Elias C. B. GoroiRorya
57.Lt. Col. Benedict KitengaKyerwa (mpya)
58.Erasto SimaBariadi
59.Nurdin H. BabuMafia
60.Khanifa M. KaramagiGairo (mpya)
61.Gishuli M. CharlesBuhigwe (mpya)
62.Saveli M. MakettaKaliua (mpya)
63.Darry RwegasiraKaragwe



OFISI YA WAZIRI MKUU,
DAR ES SALAAM.

9 MEI 2012
JAMANI NAOMBA MNIJUZE [h=3]Je Huyu James Millya Wa CHADEMA Ndiye Aliyeteuliwa Mkuu Wa Wilaya?[/h]
 
jk amechofanya nikujalibu kuwavutia waandishi wa habari wanaowaponda magamba kuacha kwa matalajio ya kuzawadiwa mkuu wa wilaya,na kwa wale ambao bado ni wa ccm waendelee kuwapamba kwa matumaini ya ukuu wa wilaya,pia ni kujalibu kuzuia wimbi la vijana wasomi kujiunga na CDM kwa matumaini ya ukuu wa wilaya.
 
Kibonde Clouds na domo mavi lote lile dhidi ya makamanda wa CDM bado hayupo kati ya waandishi wa habari, asalaam aleikum Kibonde
 
Sijaweza kujua hasa sababu au mkakati Wa uteuzi wa waandishi wa habari wengi kwenye ukuu Wa Wilaya.
Kwa uchache nimewatambua wafuatao.
1. Novatus Makunga
2. Muhingo Rweyemamu
3. Jacquline Liana
4. Suleyman Kumchaya
5. Elizabeth Mkwasa
6. Sara Dumba (ameongezwa)
7. Halima Kiemba (ameongezwa )
8. Elias Goroi - Rorya (ameongezwa)
9. Ahmed Kipozi - (ameongezwa)
Naomba uongeze kama kuna zaidi kisha sababu unazofikiri zinazochochea uteuzi. (niliondika waneongezwa) ni wale wanoongezwa na wanajamvi.

Nasikitika mabar medi wamekosa
 
Mama Edda Sanga yuko wapi? Tido Mhando je? Adam Akyoo?

WildCard, bora kina Tido Mhando wapo 50/50, Kibonde ana mdomo mchafu sana dhidi ya CDM, yupo bias sana. Ana-attack kiasi cha watu kujenga chuki za moja kwa moja na Clouds. Kuhusu Tido, JK anawezaje kumeza matapishi yake?
 
Back
Top Bottom