Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 11,163
- 22,739
Huyu Mkuu wa Mkoa wa Tabora atapata wakati mgumu sana. Namwonya asijaribu kabisa kujiweka karibu na Simba
👿👿👿Huyo ni Kolo,maana anadai kwa Tz anaiheshimu sana Simba kwa kauli hiyo tu hawezi kuheshimika maana nchi yetu imetawaliwa na dini mbili Yanga na Simba,hata awe professor ukimkuta anabisha issues za hizi imani mbili hana tofauti na mzee Mpili au Mzee Said
Kujiweka Karibu kivipi fafanua mkuuHuyu Mkuu wa Mkoa wa Tabora atapata wakati mgumu sana. Namwonya asijaribu kabisa kujiweka karibu na Simba
Na hizo timu ukijifanya mjuaji sana anaweza kukosa kazi akarudi mara kuchunga mbuzi.....maana maboss zake wanamchora tu,usidhani kibri cha Ally Kamwe kumjibu kwa kejeri hadharani anafanya kwa kukosea,anajua hawezi kumfanya chochote