Bawabu wa pili
Senior Member
- Nov 14, 2025
- 147
- 432
familia mlioko TZ vipi JF mnaipata vyema huko? Maana burn yao walisema inaisha leo, au bado hamuipati mpaka mhame nchi? Maana serikali yetu hii bila kukumbushwa hamna kazi hapo.
Unaripoti tokea wapi mwenzetu??familia mlioko TZ vipi JF mnaipata vyema huko? Maana burn yao walisema inaisha leo, au bado hamuipati mpaka mhame nchi? Maana serikali yetu hii bila kukumbushwa hamna kazi hapo.
View attachment 3512032
Eti naye anatumia code 😃Sio pipien ni vpn kaka
Nikiripoti kutokea Giningi mimi bawabu wa pili wa ITVUnaripoti tokea wapi mwenzetu??