Wakuu Uzee wa sasa ni ulemavu

Wakuu Uzee wa sasa ni ulemavu

Kula bata sana, jirushe sana, furahia ujana wako sana.

Usisahau kuwekeza kwa ajili ya 60+, sisi wazee tunaona jinsi hali ilivyo, watoto tuliozaa hawajawahi kutusaidia maana nao life linawapiga daily.

Nyie mliozalowa 70+ na 80+ jiandaeni, uze sio mchezo! Usije kuishia kutoa laana kwa watoto.
Kwahiyo sisi wa 90+ vipi? Tuendelee kuzichakata mbususu Bado mda tunao?
 
Acha upumbavu wa kulaumu watu

Maisha ya watu wanaokufa hayana maana.. Note

Kuona unatimiza jambo kwa wafu watarajiwa ni kujipa umuhimu usioustahili
Hakuna aliye laumiwa Mkuu ni issue ya kuzungumzia future tu. Usije ukateseka/kuwatesa watu wengine hapo baadae.
 
Nimeachana na added sugar,yaani sinywi chai,soda wala sili vitumbua,andazi nk,miezi miwili sasa,shida ya kukosa usingizi imeisha, nalala usingizi mzito balaa
Yaani naacha ulaji ovyo maana miaka kumi ijayo nitakua naitafuta 60,sitaki zahma za uzee,nife bila maumivu

Kwamba wewe miaka 10 ijayo utakuwa 60yrs?

Kingine ikiwezekana milo miwili ya nguvu kwa siku inatosha kabisa.
 
Nimeachana na added sugar,yaani sinywi chai,soda wala sili vitumbua,andazi nk,miezi miwili sasa,shida ya kukosa usingizi imeisha, nalala usingizi mzito balaa
Yaani naacha ulaji ovyo maana miaka kumi ijayo nitakua naitafuta 60,sitaki zahma za uzee,nife bila maumivu
Good very good umejitambua mapema.
 
Hakuna aliye laumiwa Mkuu ni issue ya kuzungumzia future tu. Usije ukateseka/kuwatesa watu wengine hapo baadae.
Dogo acha usumbufu

Sisemi vitu kwa kujiridhisha nilishatoka huko

Sitafuti umaarufu I'd yangu siyo ya kwanza jf

Wapo kabla ya yangu

Na nikipotea sio shida za wajao

Nazungumza moyo wangu wakati wote nikiwa jf am out ya validation
 
Back
Top Bottom