Wakuu Uzee wa sasa ni ulemavu

Wakuu Uzee wa sasa ni ulemavu

Ukitoa kuumia kwa ajali na kuleta ulemavu ikiwa ni mzima wa afya 70yrs inatosha ukiondoa ishu za kupooza pia,

Inanitosha sitaki stress za dunia ntakuwa nimeshaona kila kitu, by the way nimeshafanya mengi hata hayaelezeki mengine bado Ila sasa Kuna watu wanatamani uzee

Nikifikria kuogeshwa mara kulishwa msosi, mara upo pekee yako na nguvu huna

Otee
 
😁😁😁
Ila kwa hali ilivyo hata kufika 50 ni NEEMA.
😀 ni NEEMA kubwa maana vijana kwa sasa tuna demka sana umalaya tumo ulevi wa pombe chafuchafu tumo utapeli tumo kukesha kitambaa cheupe, kimboka n.k.
 
Ukitoa kuumia kwa ajali na kuleta ulemavu ikiwa ni mzima wa afya 70yrs inatosha ukiondoa ishu za kupooza pia,

Inanitosha sitaki stress za dunia ntakuwa nimeshaona kila kitu, by the way nimeshafanya mengi hata hayaelezeki mengine bado Ila sasa Kuna watu wanatamani uzee

Nikifikria kuogeshwa mara kulishwa msosi, mara upo pekee yako na nguvu huna

Otee
Mkuu unataka kusemaje(hautaki uzee)?.

Au unauogopa uzee?
 
Mi mashine ikiacha kupiga kazi kabisa, naomba Mungu anichukue tu. Kama itaendelea fanya kazi hata nikiwa na miaka 70 basi bado nitaishi huku nikiyaonea maisha wivu mkubwa
 
Kula bata sana, jirushe sana, furahia ujana wako sana.

Usisahau kuwekeza kwa ajili ya 60+, sisi wazee tunaona jinsi hali ilivyo, watoto tuliozaa hawajawahi kutusaidia maana nao life linawapiga daily.

Nyie mliozalowa 70+ na 80+ jiandaeni, uze sio mchezo! Usije kuishia kutoa laana kwa watoto.
Inasikitisha sana
 
Back
Top Bottom