T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 10,650
- 34,945
Wivu wa mapenzi ni dalili ya mtu mpenda umbea, muongo, suspicious na mtu anayedanganyika na conspiracy theories.
Kwa sisi tunaopenda empirical evidence tunataka kutoa hukumu kwa facts. Mpenzi wangu anacheat kwa sababu 1, 2, 3 zinazoonekana. Sio useme tu nahisi alikuwa anaongea na mwanaume mwingine.
Babu yangu alinambia hivi, ukiona dalili mbaya usiitumie kama hukumu bali itumie kama fursa ya kutafuta evidence ya kutoa hukumu.
Pia ondoa mawazo ya kuwa cheated maana wengi wao wako hivihivi. Kama unabisha chukua simu yake kaa nayo masaa sita uone. Wewe focus kwenye mahusiano yetu na fanya assumptions kuwa hakusaliti ila ana uwezo huo.
Mawasiliano yakiwepo, heshima, upendo, kuthaminiana unakuwa less risk kupata stress. Unataka upate vyote na hupati, mapenzi hayana furaha 100% hata wale wenye furaha bado wana hofu kubwa sana ya WHAT IF NIKAACHWA?
Kwa sisi tunaopenda empirical evidence tunataka kutoa hukumu kwa facts. Mpenzi wangu anacheat kwa sababu 1, 2, 3 zinazoonekana. Sio useme tu nahisi alikuwa anaongea na mwanaume mwingine.
Babu yangu alinambia hivi, ukiona dalili mbaya usiitumie kama hukumu bali itumie kama fursa ya kutafuta evidence ya kutoa hukumu.
Pia ondoa mawazo ya kuwa cheated maana wengi wao wako hivihivi. Kama unabisha chukua simu yake kaa nayo masaa sita uone. Wewe focus kwenye mahusiano yetu na fanya assumptions kuwa hakusaliti ila ana uwezo huo.
Mawasiliano yakiwepo, heshima, upendo, kuthaminiana unakuwa less risk kupata stress. Unataka upate vyote na hupati, mapenzi hayana furaha 100% hata wale wenye furaha bado wana hofu kubwa sana ya WHAT IF NIKAACHWA?