The ice breaker
JF-Expert Member
- Apr 20, 2023
- 543
- 1,163
Wakuu, naombeni mbinu za kumdaka mwizi wangu.
Juzi kati nimeibiwa pesa, cm na vitambulisho, bad enough IMEI no za cm, siku save popote.
Ila nahisi, ni madogo wa hapa hapa mtaani. Nipeni mifumo au mtego gani, nitumie, huyo mwizi ajichanganye tena, nimdake.
Niliwaza niwe napiga doria kuanzia saa saa nane usiku mpaka alfajiri, nitakae mdaka, masaa hayo, ni muhoji na kama Hana majibu ya logic, ni deal nae parpendicular.
Juzi kati nimeibiwa pesa, cm na vitambulisho, bad enough IMEI no za cm, siku save popote.
Ila nahisi, ni madogo wa hapa hapa mtaani. Nipeni mifumo au mtego gani, nitumie, huyo mwizi ajichanganye tena, nimdake.
Niliwaza niwe napiga doria kuanzia saa saa nane usiku mpaka alfajiri, nitakae mdaka, masaa hayo, ni muhoji na kama Hana majibu ya logic, ni deal nae parpendicular.