kikoozi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2015
- 2,030
- 2,930
- Thread starter
- #41
Mungu akubaliki mnooo mnoo mkuu, nimevutiwa sana na andishi lako. limenipa nguvuTafuta maisha mpaka ufikie stage uone future na furaha yako ni muhimu sana kuliko kitu chochote...
At least uwe na uwezo wa kuwa na furaha peke yako hata bila mpenzi wako.
Jua kabisa hauna kinga yeyote dhidi ya usaliti unaweza kusalitiwa mda wowote na siku yeyote na sio wewe peke yako hata natajiri wanasalitiwa hivyo kubali kuna risks zipo ukiwa kwenye mahusiano na moja wapo ni kusalitiwa.
Kama upo Dar nenda Posta pale kaa sehemu angalia jinsi wanawake waZuri walivyo wengi na wanavutia halafu jipe moyo km akikusaliti huyo basi utapata nafasi ya kupata mzuri zaidi na bora zaidi.
Hakikisha unajua direction ya maisha yako hata ikitokea umesalitiwa basi ujisemee nitatumia mda mwingi ku focus na maisha yangu na hobbies zangu...
Usikose hobbies,Hobbies ni muhimu sana sana sana.