Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,917
- 24,674
Leo nimeamka sina hili wala lile, kwanza nimechoka na kazi za hapa kiwandani kwangu,
Nimechoka na uchakataji niliofanya jana usiku na mtoto wa diwani yaani niko tu bored,
Ghafra kuna huyu demu wangu flani hivi nae kanicheki anataka nikamchakate sijui nifanyaje hapa,
Nimekubali sawa japo kiroho upande lakini mwili na nafsi havitaki kabisa,
Nimechoka kuichakata, wiki ya pili hii sijapumzika kila siku nazitafuna,
Hapa nipo nawaza jinsi gani ya kumkimbia huyu binti nimechokaa.
Wakuu nimekuja kwenu nipeni mbinu jinsi ya kuikwepa.
Cc Zero IQ
Nimechoka na uchakataji niliofanya jana usiku na mtoto wa diwani yaani niko tu bored,
Ghafra kuna huyu demu wangu flani hivi nae kanicheki anataka nikamchakate sijui nifanyaje hapa,
Nimekubali sawa japo kiroho upande lakini mwili na nafsi havitaki kabisa,
Nimechoka kuichakata, wiki ya pili hii sijapumzika kila siku nazitafuna,
Hapa nipo nawaza jinsi gani ya kumkimbia huyu binti nimechokaa.
Wakuu nimekuja kwenu nipeni mbinu jinsi ya kuikwepa.
Cc Zero IQ