Bongotunacheza
JF-Expert Member
- Dec 7, 2018
- 1,385
- 3,158
Nimepigiwa simu TRA wananiita. Namba ya simu ni ya kawaida. Je uzima upo? Sehemu niliyo itwa ni tofauti na kituo changu cha Kodi..
Usalama upo kweli?
N. B : Mimi sio mfanyabiashara mkubwa wala wa Kati.
Usalama upo kweli?
N. B : Mimi sio mfanyabiashara mkubwa wala wa Kati.