malavanu
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 204
- 170
We mwenyewe ushaharibu ndugu yangu,( " naboreka" )Nawasirisha -nawasilisha wazaramo bwana vichomi kweli yaani naboreka sana mtu akiharibu lugha
Sent using Jamii Forums mobile app
We mwenyewe ushaharibu ndugu yangu,( " naboreka" )Nawasirisha -nawasilisha wazaramo bwana vichomi kweli yaani naboreka sana mtu akiharibu lugha
Wajameni wewe umesoma madarasa mangapi bado unafikiri in terms ya waganga wa jadi?Habari zenu, jioni hii nilipaki gari maeneo ya africana mbezi beach, wamevunja na kuiba laptop mbili lenovo, na vitu vingine na pesa, nimekuja kwenu kwa yeyote atakaefuatwa kuuziwa naomba kwa msaada wako u nitaarifu
Na pia nauliza hivi naweza pata mganga wa jadi atakaeweza kunisaidia kumpata huyu mwizi? Maana wamenirudisha nyuma sana na kuna vitu na documents.muhimu sana.
Nawasilisha
Watu wanajifanya hawajawahi kusikia ushirikina, huu ni ulimbukeni. mimi nina ndugu yangu walipora duka usiku tena kukiwa na mlinzi wa kampuni. Kesi kwenda mahakamani ikawa hailelweki inavyoendeshwa.
Basi akatafutwa mganga kutoka Mkoa mwingine, Akasema tumfanye nini, wakamwambia unavyoweza ila arudishe mali, kumbe ilikuwa timu kubwa iliyoiba.
Yule mganga aliwajaza upepo, wakawa wanatuma ndugu zao kuomba msamaha.
Adabu walishikishwa na sidhani kama wanaendelea kufanya ushirikina.
Mwisho wa siku walisamehewa kwa sababu vitu wameshauza, kwa yale mateso waliyopitia ilibidi tu kuwaachia.
Hapo kweny kutumia Ndumba / Utapigwa kuzidi hadi hizo laptop baada uwaze njia zakitaalamu zakuwanasa awo wezi .
Sahv hakuna waganga wakweli labda kama unataka kujaza maji mtoni.
Namaanisha utaliwa na mgangaHuyo niliyemquote akinila poa tu
Slim5
Ha haaa nilielewa. Mi natania tu wala siwezi hayo mamboNamaanisha utaliwa na mganga
Mkuu mimi Mganga way backNamaanisha utaliwa na mganga
Kwa nin hukuziweka kwenye buti ya gari??Habari zenu, jioni hii nilipaki gari maeneo ya africana mbezi beach, wamevunja na kuiba laptop mbili lenovo, na vitu vingine na pesa, nimekuja kwenu kwa yeyote atakaefuatwa kuuziwa naomba kwa msaada wako u nitaarifu
Na pia nauliza hivi naweza pata mganga wa jadi atakaeweza kunisaidia kumpata huyu mwizi? Maana wamenirudisha nyuma sana na kuna vitu na documents.muhimu sana.
Nawasilisha
Dah wabongo bado tuna vilema vya imaniSio hatuamini hizo nguvu zipo .zipo sana tu lakini ni wachache sana wenye power hizo..mtu mwingine hela yake ni safi kaipata kwa uchungu ukiiba lazima ikutese..
hhah hapo nisawa nakujitekenya alafu anacheka mwenyeweDah wabongo bado tuna vilema vya imani
Kwamba uganga upo haupo? Mie naamini upo....hivyo tu .ila siuabudu!na wala hakuna anayeweza nilogaDah wabongo bado tuna vilema vya imani
Unaniruhusu nikuloge?Kwamba uganga upo haupo? Mie naamini upo....hivyo tu .ila siuabudu!na wala hakuna anayeweza niloga
Njoo tu mkuu ufanye yako...nuiza utakayo...ila uweke ushahidi kwa mtu wa3!Utakachonuiza kikinipata basi nakuwa team shirk!Unaniruhusu nikuloge?
Njoo tu mkuu ufanye yako...nuiza utakayo...ila uweke ushahidi kwa mtu wa3!Utakachonuiza kikinipata basi nakuwa team shirk!
weee dogo angalia kauli zako.... baadae utakuja humu kujiliza.... Ooooh.... Mimi..... JF. ..... Sijui Slim5 ....
Barabara inayoelekea whitesand, mbele kuna mtaa unaitwa Manyara drive, kwenye hiyo manyara drive nilipark kama nusu saa kuna mahali gari haipiti nikavuka kwa mguu nikarudi baada ya dk 45 hv nikakuta wamevunjaPole Sana rafiki.Gari ulii-pack Africans sehemu gani mkuu.Nje ya bar au eneo gani? Maana miye nakaa eneo Hilo na ni mwenyeji.ili kesho nianze kuwapanga vijana wa eneo ulikoibiwa waanze kunusanusa na kudodosa kwa vibaka wa eneo ulikopack gari kwa ahadi KWAMBA walioiba wakirudisha,Tutawakatia kitu reasonable,na kwa ahadi pia KWAMBA hakutakuwa na mkono wa Sheria.Sema specifically ulipack eneo gani Africans na ILOKUWA around muda upi.
Sent using Jamii Forums mobile app
AsanteYaani mimi huwa namshangaa sana mtu anayesema nimeibiwa laptop au simu iliyokuwa na documents za muhimu sana. Kweli kwenye dunia ya sasa, ambapo kuna aina nyingi tu za kuback up documents zako tena nyingine zipo automatic ukiweka tu document kwenye simu inajiback up automatic.
Tumieni technology acheni ushamba wa kulia lia