Wakuu naombeni ushauri wenu

Wakuu naombeni ushauri wenu

Unafeli sana kaka. Kwamba mapenzi yameadimika kiasi hicho???? Au katika maisha yako hjawahi kuachana na dem?? Halaf ni mwanamke gani uyo asie na adabu, kwmba hata hataki kuskiliza utetezi wowote ktoka kwako!! Ukilazimisha kumuoa uyo mtu atakupeleka kwa waganga ili apate 100% ya kukucontral. Sisi madaktari wa mifugo tunaita "ku-restrain" na akikuona uko mbishi sana atakuua. Achana nae tafuta mtu sahihi. Wanawake mtaani mbona wapo wengi sana kaka?? Au unakwama wapi???

Asante kwa ushauri wako kaka na kwa kuwa wengi mmenishauri nimpotezee nitafanya hivyo. Kujibu swali la unakwama wapi ni kuwa ni kuwa chongomoto ni kumsahau.
 
Sounding kama vile unaficha baadhi ya mambo. Inshort wewe siyo mwaminifu kwenye mahusiano. Tafuta ambaye atakuelewa jinsi ulivyo.

Hakuna nnachoficha mkuu na siwezi nikaficha ilhali nahitaji ushauri wa nini chakufanya.
 
Sasa ndugu zangu huko ni KUACHWA,
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂

ndio ushaachwa hivyo pambana na hali yako boss
 
Yan hizo ni indicators za kukuonesha kua hakutaki na alikua anatafta sababu kwako kisa tu ameshajua unampenda vibaya baya

Ukitaka kumuua nyani usimuangalie usoni, ni hivi hebu fanya mambo yako inauma lakini ona kama Mungu anakuepusha na kikombe kisicho chako mkuu, wewe kaa kimya usimtafte huko kuhangaika kwako ndio mana unaumia bure waswahili wana msemo wao ukiachwa achika huna namna, hujamuoa hali ni hiyo ukimuoa itakuaje?
Chukua ushauri huu mtoa mada.
 
We hupendwi tu. Mi simu yangu ilifumaniwa na namba za demu anayejiuza na tunaelewana bei. Ila mwisho wa siku kesi imeisha na tunaishi kwa furaha na amani
Habari za asubuhi.

Kwa kweli nimefikia katika hatua ngumu sana katika mahusiano yangu (japo huenda isiwe sahihi kwa mimi kuita ni mahusiano kutokana na hali iliopo hivi sasa.

Ishu yenyewe iko hivi, Hapo katikati ya mwaka nilikutana na mwanamke mmoja katika mazingira fulani na kiukweli baada ya mazungumzo kadhaa nilimpenda sana, basi tukabadilishana namba tukaanza kuwasiliana, baada ya mawasiliano kwa muda fulani tukaanza mahusiano ya kimapenzi ambayo mwanzoni yalikwenda vizuri tu.

Lakini changamoto ikaanza kujitokeza, pale nilipogundua yeye ni mtu mwenye wivu sana au naweza sema hana imani sana nami kwakuwa alianza kukasirikia mambo madogo madogo sana kwa mfano akinipigia simu akaona inatumika lazima ataanza kuuliza kwa ugomvi, akiona niko nae nikawa najibu sms basi anakasirika anahisi nachati na mwanamke mwingine. Kuna siku moja nilimfanyia surprise anakokaa nikampigia simu nikiwa stand lakini kwa sababu sikumwambia ukweli kuwa ningekuja siku hiyo ili nimsurprise akaanza kunihisi labda nimetoka kwa mwanamke mwingine mpaka nilipomuelewesha akaelewa akanyamaza.

Sasa kisanga kimetokea juzi tumekutana zetu baa kunywa supu ya samaki. Mara ya kwanza tumepiga stori vizuri tu na tukaongelea mambo mbalimbali, baada ya muda hamu ya sex ikampata akanambia anataka nikamwambia hapa tuko bar subiri kwanza tukitoka. Hakunielewa akaanza kunikalia mapajani, nikamwacha alipoanza kunilalia akiwa amekaa mapajani nikamwambia kaa kwenye siti yako tukitoka tutakwenda ku-do. Nilipomwambia hivyo alikubali ila ALIKASIRIKA SANA, kwa hasira akanambia lete simu yako niikague, akaanza kuikagua akakagua sms za kawaida akaona hamna chochote cha kunikamatisha.

Akataka kukagua na whatsapp, nikamwambia whatsapp hapana. Kiukweli nilikataa si kwa sababu nilikuwa na mwanamke mwingine, la hasha, nilikataa kwa sababu sikufuta sms za whatsapp za ma X wangu(mimi ni mvivu kufuta sms za whatsapp) hivyo niliogopa ikiwa angeziona na kwa jinsi nilivyomjua asingenielewa hivyo nilikataa yeye kukagua sms za whatsapp akawa anang'ang'ania nikamnyang'anya simu akawa anang'ang'ania tena huku akiniambia 'usiponiachia nikague simu yako basi jua mi na we ndo basi', nikamnyang'anya akaondoka kwa hasira. Kujaribu kumfata sikumuona.

Baadae nikaanza kumpigia simu ikawa inaita hapokei alivoona kero akaniblock, nikapiga kwa namba ingine alipogundua kuwa ni mimi akaikata na hakupokea tena. Nikamfata anapoishi nilopofika mlangoni alipogundua kuwa ni mimi akafunga mlango kwa ndani halafu KIMYA. Tangu hapo akawa hataki mawasiliano nami, nikaja nikampigia kwa namba ingine akapokea akanambia 'sitaki mahusiano nawewe' akakata nikapiga tena akapokea akasema 'sitaki hata mawasiliano na wewe na tukionana kila mtu kimpango wake, endelea na wanawake zako.'

Sasa ndugu zangu huko ni KUACHWA, kinachoniumiza ni kuwa naamini sina kosa na kwa kweli sina/sikuwa na mwanamke yeyote zaidi yake. Na mie bado NAMPENDA SANA TENA SANA, mpaka nimefikia hatua hii ya kuleta hapa sina la kufanya kwa kuwa hapokei simu yangu wala hataki mazungumzo nami na wala simjui ndugu yake yeyote ningemjua ningemwomba anisaidie kwa kweli kwa sababu nampenda sana, tulipanga tufunge ndoa mwakani 2020.

Na tulikuwa tunapanga maswala ya kutambulishana. Sasa naombeni mnishauri nifanyeje ndugu zangu kwa kuwa mie inaniuma sana nimejaribu kumwambia kuwa nili kataa asikague simu yangu kwa sababu hangeamini ambacho ningemwambia lakini hakunielewa.

Mnisamehe kwa kuandika maneno mengi sana kwa sababu nilitaka kueleza kila kitu.

Naomba mnishauri wakuu.
 
Habari za asubuhi.

Kwa kweli nimefikia katika hatua ngumu sana katika mahusiano yangu (japo huenda isiwe sahihi kwa mimi kuita ni mahusiano kutokana na hali iliopo hivi sasa.

Ishu yenyewe iko hivi, Hapo katikati ya mwaka nilikutana na mwanamke mmoja katika mazingira fulani na kiukweli baada ya mazungumzo kadhaa nilimpenda sana, basi tukabadilishana namba tukaanza kuwasiliana, baada ya mawasiliano kwa muda fulani tukaanza mahusiano ya kimapenzi ambayo mwanzoni yalikwenda vizuri tu.

Lakini changamoto ikaanza kujitokeza, pale nilipogundua yeye ni mtu mwenye wivu sana au naweza sema hana imani sana nami kwakuwa alianza kukasirikia mambo madogo madogo sana kwa mfano akinipigia simu akaona inatumika lazima ataanza kuuliza kwa ugomvi, akiona niko nae nikawa najibu sms basi anakasirika anahisi nachati na mwanamke mwingine. Kuna siku moja nilimfanyia surprise anakokaa nikampigia simu nikiwa stand lakini kwa sababu sikumwambia ukweli kuwa ningekuja siku hiyo ili nimsurprise akaanza kunihisi labda nimetoka kwa mwanamke mwingine mpaka nilipomuelewesha akaelewa akanyamaza.

Sasa kisanga kimetokea juzi tumekutana zetu baa kunywa supu ya samaki. Mara ya kwanza tumepiga stori vizuri tu na tukaongelea mambo mbalimbali, baada ya muda hamu ya sex ikampata akanambia anataka nikamwambia hapa tuko bar subiri kwanza tukitoka. Hakunielewa akaanza kunikalia mapajani, nikamwacha alipoanza kunilalia akiwa amekaa mapajani nikamwambia kaa kwenye siti yako tukitoka tutakwenda ku-do. Nilipomwambia hivyo alikubali ila ALIKASIRIKA SANA, kwa hasira akanambia lete simu yako niikague, akaanza kuikagua akakagua sms za kawaida akaona hamna chochote cha kunikamatisha.

Akataka kukagua na whatsapp, nikamwambia whatsapp hapana. Kiukweli nilikataa si kwa sababu nilikuwa na mwanamke mwingine, la hasha, nilikataa kwa sababu sikufuta sms za whatsapp za ma X wangu(mimi ni mvivu kufuta sms za whatsapp) hivyo niliogopa ikiwa angeziona na kwa jinsi nilivyomjua asingenielewa hivyo nilikataa yeye kukagua sms za whatsapp akawa anang'ang'ania nikamnyang'anya simu akawa anang'ang'ania tena huku akiniambia 'usiponiachia nikague simu yako basi jua mi na we ndo basi', nikamnyang'anya akaondoka kwa hasira. Kujaribu kumfata sikumuona.

Baadae nikaanza kumpigia simu ikawa inaita hapokei alivoona kero akaniblock, nikapiga kwa namba ingine alipogundua kuwa ni mimi akaikata na hakupokea tena. Nikamfata anapoishi nilopofika mlangoni alipogundua kuwa ni mimi akafunga mlango kwa ndani halafu KIMYA. Tangu hapo akawa hataki mawasiliano nami, nikaja nikampigia kwa namba ingine akapokea akanambia 'sitaki mahusiano nawewe' akakata nikapiga tena akapokea akasema 'sitaki hata mawasiliano na wewe na tukionana kila mtu kimpango wake, endelea na wanawake zako.'

Sasa ndugu zangu huko ni KUACHWA, kinachoniumiza ni kuwa naamini sina kosa na kwa kweli sina/sikuwa na mwanamke yeyote zaidi yake. Na mie bado NAMPENDA SANA TENA SANA, mpaka nimefikia hatua hii ya kuleta hapa sina la kufanya kwa kuwa hapokei simu yangu wala hataki mazungumzo nami na wala simjui ndugu yake yeyote ningemjua ningemwomba anisaidie kwa kweli kwa sababu nampenda sana, tulipanga tufunge ndoa mwakani 2020.

Na tulikuwa tunapanga maswala ya kutambulishana. Sasa naombeni mnishauri nifanyeje ndugu zangu kwa kuwa mie inaniuma sana nimejaribu kumwambia kuwa nili kataa asikague simu yangu kwa sababu hangeamini ambacho ningemwambia lakini hakunielewa.

Mnisamehe kwa kuandika maneno mengi sana kwa sababu nilitaka kueleza kila kitu.

Naomba mnishauri wakuu.
Kwanza pole kwa msaibu. Binafsi nitashauri nikiamini ulichoandika ndiyo ukweli...
1. Huyo MTU hafai kuowa. Kwake mahusiano na wewe Yana maana usiongee wala kusemeshana na yeyote.
2. Kuowa MTU kama huyo, utaishi maisha ya kujitetea kwake kila siku iwe umekilosea wewe, yeye au wote.
3. Utachaguliwa marafiki. Na hao marafiki NI wale watakaokuwa wanafanana na yeye... Ni wapelelezi wake
4. KUOWA MTU WA hivyo, utatiliwa shaka hata Kwa dada zako, mama yako ...etc
5. KUOWA WA hivyo utakuja kuhisiwa ushoga, maana wanawake hutaongea nao, and obviously watabaki wanaume.... What will be the next hisia zake kwako..??? USHOGA

KIONGOZI HUYO MTU ATAKUFANYA UISHI JEHANAMU HUKU UKIWA DUNIANI. UTAKUWA NA HOFU YA KUFANYA CHOCHOTE KWA KUMHOFIA

ANATAKIWA AFAHAMU KUWA UNA MARAFIKI NA MA-X, NDUGU JAMAA NA MARAFIKI....

ACHANA NAYE AND MOVE ON NA MAISHA YAKO
 
Mzee baba unaweza kuwa nao wengi lakini mmoj akakukamata nyota kweli kweli... Mi niko mao watatu ila huyu mmoja mmmmh kamoyo kanauma sana..
Unaonekana kwenye game la mapenzi bado underground..mabaharia hua hatujitosi mazima kwenye mapenzi..mana mwisho wa mapenzi ya dhati na maumivu na chuki...kimsingi hutakiwi kupenda mademu wa kibongo..pia kosa kubwa kuwa na demu mmoja..eti kisa mapenzi ya dhati...
 
Kwanza pole kwa msaibu. Binafsi nitashauri nikiamini ulichoandika ndiyo ukweli...
1. Huyo MTU hafai kuowa. Kwake mahusiano na wewe Yana maana usiongee wala kusemeshana na yeyote.
2. Kuowa MTU kama huyo, utaishi maisha ya kujitetea kwake kila siku iwe umekilosea wewe, yeye au wote.
3. Utachaguliwa marafiki. Na hao marafiki NI wale watakaokuwa wanafanana na yeye... Ni wapelelezi wake
4. KUOWA MTU WA hivyo, utatiliwa shaka hata Kwa dada zako, mama yako ...etc
5. KUOWA WA hivyo utakuja kuhisiwa ushoga, maana wanawake hutaongea nao, and obviously watabaki wanaume.... What will be the next hisia zake kwako..??? USHOGA

KIONGOZI HUYO MTU ATAKUFANYA UISHI JEHANAMU HUKU UKIWA DUNIANI. UTAKUWA NA HOFU YA KUFANYA CHOCHOTE KWA KUMHOFIA

ANATAKIWA AFAHAMU KUWA UNA MARAFIKI NA MA-X, NDUGU JAMAA NA MARAFIKI....

ACHANA NAYE AND MOVE ON NA MAISHA YAKO
Asante sana kwa ushauri wako ndugu yangu. Nitazingatia.
 
Aisee ukioa huyo mwanamke hutaishi kwa raha maisha yako yote Yan utakua Kama like kondoo tu ndani ya nyumba au Dem anakuzidi kipato nn?
Alafu nashindwa kumuelewa yan mwanamke abanwe nyege baa akupandilie hapo hapo bar still unataka
 
Back
Top Bottom