Kwanza polee...
Ila mkuu hao ma ex zako tangu mmeachana ni mda,sasa inakuaje useme hujafuta sms zao WhatsApp? Hivi inawezekanaje kukaa na masms ya ex zako? Hapa kuna kitu umetuficha na wahuni tushajua
Pili, huyo bibie kama unataka kumuoa basi ukubali tu mapungufu yake otherwise utaona ana kukera...Wivu ukizidi kila siku mtagombana
Mwisho mwache uyo bibie hata wiki moja au mbili zipite apoe hasira zake...ni ngumu kutaka akusikilize saiz na wakati umesha mtibua na ukizingatia ana kisirani sana uyo mwananke..mpe muda apoee kisha nenda kwake mkayamalize..
Akigoma,achana nae mkuu,hawa viumbe pasua kichwa...Kama hakupendi tena ,mwambie wanao bado Tunakupenda..