Wakuu naombeni ushauri wenu

Wakuu naombeni ushauri wenu

1: kwa nini ubaki na ma SMS ya wasap ya x zako? Ili iweje wakati ushaachana nao?
2: mmmh eti wewe ni mvivu kufuta SMS za ma x za wasap? Kawadandanye watoto wenzie.
3: kitendo cha kutofuta SMS na no ya simu za x maana yake bado unampenda, wakubwa wenzangu hii kitu mnaitambua.
Note: usiingie kwenye mahusiano mapya kama unajua bado unampenda x, futa kila kitu then move on, mpaka mtu anakuwa x inamaana no relationship btn u.
 
Kwanza polee...
Ila mkuu hao ma ex zako tangu mmeachana ni mda,sasa inakuaje useme hujafuta sms zao WhatsApp? Hivi inawezekanaje kukaa na masms ya ex zako? Hapa kuna kitu umetuficha na wahuni tushajua
Pili, huyo bibie kama unataka kumuoa basi ukubali tu mapungufu yake otherwise utaona ana kukera...Wivu ukizidi kila siku mtagombana
Mwisho mwache uyo bibie hata wiki moja au mbili zipite apoe hasira zake...ni ngumu kutaka akusikilize saiz na wakati umesha mtibua na ukizingatia ana kisirani sana uyo mwananke..mpe muda apoee kisha nenda kwake mkayamalize..
Akigoma,achana nae mkuu,hawa viumbe pasua kichwa...Kama hakupendi tena ,mwambie wanao bado Tunakupenda..

Nashkuru sana kwa kunishauri mkuu.

Kwa kweli hakuna nnachoficha, hapa kwenye simu hata ukitaka sms za 2016 zipo yani sinaga kabisa time ya kuzifuta.

Umenishauri niende kwake nilienda akanifungia mlango akaniacha nje. Sasa ni wiki ya tatu hii napiga simu kwa namba ingine atafanya kupokea atanifokea atakata.
 
Yan hizo ni indicators za kukuonesha kua hakutaki na alikua anatafta sababu kwako kisa tu ameshajua unampenda vibaya baya
Ukitaka kumuua nyani usimuangalie usoni, ni hivi hebu fanya mambo yako inauma lakini ona kama Mungu anakuepusha na kikombe kisicho chako mkuu, wewe kaa kimya usimtafte huko kuhangaika kwako ndio mana unaumia bure waswahili wana msemo wao ukiachwa achika huna namna, hujamuoa hali ni hiyo ukimuoa itakuaje?

Asante kwa kunishauri. Japo kuna changamoto kidogo kumuacha
 
Unaonekana kwenye game la mapenzi bado underground..mabaharia hua hatujitosi mazima kwenye mapenzi..mana mwisho wa mapenzi ya dhati na maumivu na chuki...kimsingi hutakiwi kupenda mademu wa kibongo..pia kosa kubwa kuwa na demu mmoja..eti kisa mapenzi ya dhati...

Ndugu yangu nahisi hujawai kupenda
 
Hapo kwenye swala la kutokufuta mawasiliano ya ex

Unajua tuko tofauti kuna kina sie ambao yan tukiachwa tunakubali hali tumeachwa tunafuta sms calls namba za sim picha emails na kila kitu kinachomhusu ex isipokua tu blocking hatufanyi tunaona ni udhaifu kublock mtu

Kuna ambao utakula block kote kote

Kuna ambao kama mtoa mada japo unaweza kuona haimake sense sababu mtu anaweza kuishi vipi na sms za mtu aliekwisha achana naye ila utambue kila mtu ana namna ya kuhandle break up kwa mtindo anaoujua yeye waweza kuta kweli wameachana n sms tu hajafuta

Kwanza polee...
Ila mkuu hao ma ex zako tangu mmeachana ni mda,sasa inakuaje useme hujafuta sms zao WhatsApp? Hivi inawezekanaje kukaa na masms ya ex zako? Hapa kuna kitu umetuficha na wahuni tushajua
Pili, huyo bibie kama unataka kumuoa basi ukubali tu mapungufu yake otherwise utaona ana kukera...Wivu ukizidi kila siku mtagombana
Mwisho mwache uyo bibie hata wiki moja au mbili zipite apoe hasira zake...ni ngumu kutaka akusikilize saiz na wakati umesha mtibua na ukizingatia ana kisirani sana uyo mwananke..mpe muda apoee kisha nenda kwake mkayamalize..
Akigoma,achana nae mkuu,hawa viumbe pasua kichwa...Kama hakupendi tena ,mwambie wanao bado Tunakupenda..
 
Pole sana mkuu, unapozidi kufeli na kujiumiza ni unavyozidi kumtafuta acha kumtafuta unampa kiburi na atakuendesha ad upate vidonda vya tumbo, be a man step out of that shit relationship atakupotezea mda wako kaa kmya asipojirudi basi ni mwanzo mpya, kuishi ni mara moja ila kuna aina nyingi za kuishi jali afya ya moyo wako hakuna wa kukufanyia hili.
 
Eti sms za maex(akili kumkichwa)

Mwache hasira zipoe kwanza, then mtafute tena mzungumze. This time kuwa mwanaume, mweleze ukweli kuhusu tabia zake zinazokukera. Akibadilika shukuru, asipobadilika basi ujue ndio madhaifu yake utakayopaswa kuyavumilia.
 
Umeshaona tabia zake then unataka kumuoa r u serious dude kosea kujenga sio kuoa Cha kufanya hapo kula bati do ur thing mpaka ashangae kwann umtafuti ye SI ana wivu ukikaa kimya ndo ataona umepata mwingine kabisa mwisho wa siku atakutafuta mwenyewe
Asante kwa kunishauri. Nimejaribu kukaa kimya wiki moja sasa.

Sijui kama atakuja kunitafuta tena maana alinambia yeye akishamuacha mwanaume huwa harudiani naye tena kwahiyo akasema nikubali kuwa hanitaki.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom