Wakuu msaada

Wakuu msaada

Mleta mada ni mshamba wa kiwango cha pro max.
Yaani libaba lazima unashindwa kutongoza wanawake unapokutana nao live unakuja huku kuomba tips za kuwapata mitandaoni.

Hovyo kabisa!
 
mwezi mtukufu shetani kafungwa minyororo wewe ujasiri wa kufanya dhambi unautoa wapi ndugu yetu? Ramadhan ikiisha nitafute nikuonyeshe chimbo kitonga kule telegram
 
Kuna hii datting site inaitwa bibo mwenye uzoefu nayo wanatumia mfumo wa credit(coin) aisee credit inaliwa kama maji.
Na madem nawaona ni wengi mpaka najiuliza ni watu halisi au ni marobot japo lugha inayotumiaka kiswahili.

Mbaya zaidi ukijaribu kufupisha stori ukaomba namba text aiendi

Kama kuna mtu alishapa mbususu kwenye hii app anipe muongozo au kama kuna App nyingine za uhakika anaweza nisaidia
Chief unaomba msaada uingie kwenye uzinzi!!!!!!???? Anyway ngoja wajuvi wa hizo mambo waje wakusaidie maana jf ni kama Guanzuh China kila kitu unapata kikubwa subira.
 
Libibi hilo limejichokea tena libaya maana kuna mibibi mizuri ile haizeeki ila hilo hapana sio lishangazi ni libibi
Wewe mbele ya pesa unaanza kujichagulia tena lizuri?mbona sisi hatunaga hizo habari😎
154EBD4C-7547-47DE-9955-4880BC541FEC.jpeg
 
Back
Top Bottom