Wakuu msaada wenu juu ya hili jambo

digba sowey

JF-Expert Member
Mar 1, 2017
7,888
14,328
Hamjambo waungwana,?naomba kuwasilisha maada.

Wakuu kuna jambo linanitatiza kidogo,Niko katika ndoa kwa miaka kumi sasa nikiwa na watoto wawili.

Kiufupi Mimi huwa napenda sana kujua afya ya familia Yangu,hivyo hunilazimu kupima Mara kwa Mara

Juzi nilienda kupima blood group(kundi la damu) ya katoto kangu ka pili ambako ni kakiume ,Mimi group langu la damu ni B+ wakati la mama watoto ni 0+ ,sasa mtoto yeye baada ya kupimwa ilionekana kuwa ni AB+,

Je wataalamu Wa haya masuala hili jambo linawezekana kwa wazazi kuwa na kundi tofauti la damu na mtoto wao?

Ahsanteni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa akili ya kawaida naona inawezekana labda kama una mashaka ungepima DNA
 
Mama grp O vs baba grp B
Double allele kwa mama ni OO na kwa baba ni BB au OB
Kama double allele za baba ni BB na kwa mama ni OO inategemewa mtoto arithi B mojawapo ya baba na O moja ya mama na grp la mtoto litakua ni OB ambalo ni group B coz allele B ni dominant over allele O (recessive) au group
Kama double allele za baba alizorithi mtoto ni OB na allele za mama ni OO then possible group za watoto zitakua ni O na B
Kwa theory hii haitushuhudii uwezekano wazaz wa group O na B kupata mtoto wa group A au AB
.
.
.
Blood groups zinaweza kusema kama mtoto sio wako lkn haziwez kuthibitisha kama kweli mtoto wa baba husika
.
.
Kwa case yako I hv no comment

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mama grp O vs baba grp B
Double allele kwa mama ni OO na kwa baba ni BB au OB
Kama double allele za baba ni BB na kwa mama ni OO inategemewa mtoto arithi B mojawapo ya baba na O moja ya mama na grp la mtoto litakua ni OB ambalo ni group B coz allele B ni dominant over allele O (recessive) au group
Kama double allele za baba alizorithi mtoto ni OB na allele za mama ni OO then possible group za watoto zitakua ni O na B
Kwa theory hii haitushuhudii uwezekano wazaz wa group O na B kupata mtoto wa group A au AB
.
.
.
Blood groups zinaweza kusema kama mtoto sio wako lkn haziwez kuthibitisha kama kweli mtoto wa baba husika
.
.
Kwa case yako I hv no comment

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeloga kesho aende kwa Wakili amuombe kibali cha kupima DNA
 
Umeloga kesho aende kwa Wakili amuombe kibali cha kupima DNA
Ukifuatilia sana utaishiwa kusumbuka na mwsho wa siku DNA watatoa matokeo yatakayolinda ndoa yenu ili kuepusha kutelekezwa watoto
.
.
Unaweza kuta ww sio mtoto wa baba yako na baba yako nae sio mtoto wa babu yako yaan hawa wamama ni full kutuvuruga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hamjambo waungwana,?naomba kuwasilisha maada.

Wakuu kuna jambo linanitatiza kidogo,Niko katika ndoa kwa miaka kumi sasa nikiwa na watoto wawili.

Kiufupi Mimi huwa napenda sana kujua afya ya familia Yangu,hivyo hunilazimu kupima Mara kwa Mara

Juzi nilienda kupima blood group(kundi la damu) ya katoto kangu ka pili ambako ni kakiume ,Mimi group langu la damu ni B+ wakati la mama watoto ni 0+ ,sasa mtoto yeye baada ya kupimwa ilionekana kuwa ni AB+,

Je wataalamu Wa haya masuala hili jambo linawezekana kwa wazazi kuwa na kundi tofauti la damu na mtoto wao?

Ahsanteni.

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa chai nakushaur wapeleke watoto shule wawe wajanja kama ww ili waje kutuchora

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahsante mkuu
Mama grp O vs baba grp B
Double allele kwa mama ni OO na kwa baba ni BB au OB
Kama double allele za baba ni BB na kwa mama ni OO inategemewa mtoto arithi B mojawapo ya baba na O moja ya mama na grp la mtoto litakua ni OB ambalo ni group B coz allele B ni dominant over allele O (recessive) au group
Kama double allele za baba alizorithi mtoto ni OB na allele za mama ni OO then possible group za watoto zitakua ni O na B
Kwa theory hii haitushuhudii uwezekano wazaz wa group O na B kupata mtoto wa group A au AB
.
.
.
Blood groups zinaweza kusema kama mtoto sio wako lkn haziwez kuthibitisha kama kweli mtoto wa baba husika
.
.
Kwa case yako I hv no comment

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mama grp O vs baba grp B
Double allele kwa mama ni OO na kwa baba ni BB au OB
Kama double allele za baba ni BB na kwa mama ni OO inategemewa mtoto arithi B mojawapo ya baba na O moja ya mama na grp la mtoto litakua ni OB ambalo ni group B coz allele B ni dominant over allele O (recessive) au group
Kama double allele za baba alizorithi mtoto ni OB na allele za mama ni OO then possible group za watoto zitakua ni O na B
Kwa theory hii haitushuhudii uwezekano wazaz wa group O na B kupata mtoto wa group A au AB
.
.
.
Blood groups zinaweza kusema kama mtoto sio wako lkn haziwez kuthibitisha kama kweli mtoto wa baba husika
.
.
Kwa case yako I hv no comment

Sent using Jamii Forums mobile app
Navyokumbuka genetics ya kitamboo enzii hizo...
Blood group sio kipimo sahihi sana pia ilileta matatizo mengi katika jamii na lako linaanza kuingia humo..
Kuja kwa DNA ndio jibu la utata wa kizazi hiki achana na blood group kapime DNA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom