Wakuu msaada jinsi ya kuistall programs kwenye hii tablets

Dodoma leo

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2021
Posts
1,336
Reaction score
1,660
Wakuu nipo na tablet Nokia T20 tablet hapa, nilikuwa naistall programs kwenye hii tablets..sasa nimepata shida jinsi ya kuiafany hii tablets niweze kupokea na kupiga cimu, pia kuweza kutumia mobile data coz nimefel kaabsa pamoja na kujitahidi.
 
Hicho siyo kishikwambi milichopewa juzi kweli na Halmashauri?
 
ina sifa gani ukubwa wake kwanza ni upi inaweka ikawa ni tablet zile za watoto mkuu huwezi kuweka ivo unavyovitaji
 
Ndio pamoja na memory
Nenda setting kwenye connection ingia mobile network halafu access point name.

Angalia kuna setting za internet? Kama hakuna bonyeza kialama cha add/jumlisha halafu itakuja form ya kujaza.

Connection name andika chochote
Apn andika internet

Click save then activate iwe default apn
 
Vip kuhusu dial phone or call app
 
Nimejaribu hapa inaandika access pointi name settings are Not available for this user
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…