Dodoma leo
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 1,336
- 1,652
Wakuu nipo na tablet Nokia T20 tablet hapa, nilikuwa naistall programs kwenye hii tablets..sasa nimepata shida jinsi ya kuiafany hii tablets niweze kupokea na kupiga cimu, pia kuweza kutumia mobile data coz nimefel kaabsa pamoja na kujitahidi.