Wakuu mkikutana ma uyu itakuaje

Wakuu mkikutana ma uyu itakuaje

Nitamwomba tufanye tabia mbaya kisha nitamwomba anipige picha kwa I phone yake aje amwoneshe mwanangu akizaliwa, then anipige risasi kimahaba nife nikitabasamu!

Hehe unataka mwanao aone baba alivokufa kishujaa
 
Mie ntamwambia يسغعتا خاييعليياهغك غصصثنرلهخقس عغيكالااتا ييااهابسسغهربب.

Tutafsirie mi nlisha sahau c jui nakula uzee sana
 
Naomba aniue haraka, alafu nakufa huku natabasamu!!!
 
Ndio maana Gadafi bodyguards wake walikuwa wa namna hii, wanafaa kupozea hasira za afande.
 
Back
Top Bottom