wakuu kuna nafasi mpya wanazipost sasa kweye tovuti yao ajira.go.tz ila kitu kilichonishangaza juu ya utendaji kazi wa hawa jamaa eti wanasema mtu aliyeapply nafasi zile za mwezi wa tano ambazo hawajasaili watu haruhusiwi kuomba tena
wakuu kuna nafasi mpya wanazipost sasa kweye tovuti yao ajira.go.tz ila kitu kilichonishangaza juu ya utendaji kazi wa hawa jamaa eti wanasema mtu aliyeapply nafasi zile za mwezi wa tano ambazo hawajasaili watu haruhusiwi kuomba tena
Itakuwa hizo nafasi baadhi yake zinajirudia, wanaweza kuziunganisha na hizo unazozisema, kwa hiyo uki apply utakuwa kama umeomba mara mbili kwenye nafasi moja.
mkuu wana akili sana ujue kwa ninini
vyuo vikuu nilimsikilza jamaa mmoja analalamika kuna wakati wanachagua watu zaidi ya 40 kila vyuoo hali anaenda kuingia chuo kimoja tu..so wanataka kila mtu apate nafasi hawana nia mbaya maana wawezakuta uliapply lasttime una ka uwezo cha kulamba tripu hii ambayo ina labda umate umate zaidi unakuta unawapunguzia watu riziki zao we komaa na yale yale yaliopita sikilizia tu serikali inachukua hata mwaka kuitwa kwenye usaili kama Mungu atapenda ingawa kuna walioanza kazi na nafasi za kazi zilizopita usiniuliza nauza mkaa mie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.