Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,508
- 830,009
Siasa za Bongo sasa zimebebwa na chama kimoja tuu
Mijadala ya kisiasa kwasasa imetawaliwa na chama kimoja tuu
Matukio ya kisiasa Bongo yote kwasasa yote ni ya chama kimoja tuu
Mitandao ya kijamii bongo habari zake za kisiasa zote zimeelemea chama kimoja tuu
Hii sio sawa kabisa.. Hakuna mizania ya haki hapa.. No kama vile vyama vingine ni mahututi ama ni mfu kabisa
Je asili inachukua mkondo wake? Does nature taking its cause!?💪🏿✌🏿
Tulipofika ni A point of no return.. Na hakuna nguvu inayotumika bali mambo yanaenda yenyewe.. Very natural.. Very automatically..!
Ni afadhali kidogo huko kwende kandanda.. Japo Mnyama nyota yake inang'ara zaidi lakini walau mtani jembe anasikika kidogo.. Mtani ni majeruhi lakini si mahututi..
Maneno ya Mungu yanasema hivi
Mathayo 5:13 Ninyi ni chumvi ya dunia; lakini chumvi ikiwa imeharibika itatiwa nini hata ikolee? Haifai tena kabisa, ila kutupwa nje na kukanyagwa na watu
Kuna chama tayari kimeshakuwa chumvi iliyoharibika.. Isiyofaa tena.. Imeshatupwa na inakanyagwa na watu..
Nani anaweza kunionesha walau mada moja mitandaoni iliyotawala walau kwa masaa machache ama iliyoenda viral? Achana na zile mada mbovu zilizokosa ladha na uhalisia za mbubujikwa machozi, tlaa tlaah, yule Yohana mbatizaji kinyonga na wengine
Ni wakati wa mabadiliko na hakuna nguvu ya kibinadamu kuizuia. Kama Mnyama anavyoenda fainali na kuchukua kikombe ndivyo hivyo navyo CHADEMA inavyoenda kuchukua nchi
Simba ilitinga fainali mwaka 1993 wakati mageuzi yanaasisiwa.. Simba inaenda kuchukua ubingwa mwaka huu wakati mageuzi yakiwa kwenye kilele cha ubora na kukubalika
Kuna coincidence ya ajabu hapa na iko kiroho zaidi! Upande wa RED unang'ara na kukubalika kila kona! Lakini upande ule mwingine kumefubaa kumefifia hakuna nuru .. Na kuna kila dalili ya matanga!
Sijui mnanielewa?
Good morning TANGANYIKA,💗
Mijadala ya kisiasa kwasasa imetawaliwa na chama kimoja tuu
Matukio ya kisiasa Bongo yote kwasasa yote ni ya chama kimoja tuu
Mitandao ya kijamii bongo habari zake za kisiasa zote zimeelemea chama kimoja tuu
Hii sio sawa kabisa.. Hakuna mizania ya haki hapa.. No kama vile vyama vingine ni mahututi ama ni mfu kabisa
Je asili inachukua mkondo wake? Does nature taking its cause!?💪🏿✌🏿
Tulipofika ni A point of no return.. Na hakuna nguvu inayotumika bali mambo yanaenda yenyewe.. Very natural.. Very automatically..!
Ni afadhali kidogo huko kwende kandanda.. Japo Mnyama nyota yake inang'ara zaidi lakini walau mtani jembe anasikika kidogo.. Mtani ni majeruhi lakini si mahututi..
Maneno ya Mungu yanasema hivi
Mathayo 5:13 Ninyi ni chumvi ya dunia; lakini chumvi ikiwa imeharibika itatiwa nini hata ikolee? Haifai tena kabisa, ila kutupwa nje na kukanyagwa na watu
Kuna chama tayari kimeshakuwa chumvi iliyoharibika.. Isiyofaa tena.. Imeshatupwa na inakanyagwa na watu..
Nani anaweza kunionesha walau mada moja mitandaoni iliyotawala walau kwa masaa machache ama iliyoenda viral? Achana na zile mada mbovu zilizokosa ladha na uhalisia za mbubujikwa machozi, tlaa tlaah, yule Yohana mbatizaji kinyonga na wengine
Ni wakati wa mabadiliko na hakuna nguvu ya kibinadamu kuizuia. Kama Mnyama anavyoenda fainali na kuchukua kikombe ndivyo hivyo navyo CHADEMA inavyoenda kuchukua nchi
Simba ilitinga fainali mwaka 1993 wakati mageuzi yanaasisiwa.. Simba inaenda kuchukua ubingwa mwaka huu wakati mageuzi yakiwa kwenye kilele cha ubora na kukubalika
Kuna coincidence ya ajabu hapa na iko kiroho zaidi! Upande wa RED unang'ara na kukubalika kila kona! Lakini upande ule mwingine kumefubaa kumefifia hakuna nuru .. Na kuna kila dalili ya matanga!
Sijui mnanielewa?
Good morning TANGANYIKA,💗